Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha watu wako kwenye msibaHao wavamiaji wakikamatwa kila mmoja alishwe kilo 40 ya nyama ya nguruwe[emoji205]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha watu wako kwenye msibaHao wavamiaji wakikamatwa kila mmoja alishwe kilo 40 ya nyama ya nguruwe[emoji205]
Umekula lakini na umeshiba?Watakapowabandua watoto wako ndo akili zitakukaa sawa
Asante Boss,bahati mbaya sana hata sihangaiki kufungua link.Unachoka tu bure.Hizo nguvu elekeza kwenye kubaruzana na hao wengine.ThanksMwengine huyu
![]()
Padri wa Kanisa Katoliki Anaswa Kichakani Ndani Ya Gari Akiwa Na Mrembo UCHI
Soma Habari Mbali Mbali za Udaku, Michezo, Siasa, Mapenzi na Mengine Mengi Kutoka Tanzaniawww.udakuspecially.com
Hii mbungi ingepigwa msikitini sipati picha n'titi wakeKanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia leo ambapo watu waliovamia wamevunja mlango na kuingia ndani kisha kuharibu vitu vitakatifu vikiwemo mavazi ya misa na kuvunja misalaba.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita ACP Berthaneema Mlayi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba watu wawili wanashikiliwa na upepelezi wa tukio hilo unaendelea.
View attachment 2530606View attachment 2530607View attachment 2530608View attachment 2530609View attachment 2530610View attachment 2530611View attachment 2530612
=====
Askofu Flavian Kassala
Wapendwa, nawatangazia kuwa jimbo katoliki Geita tumepatwa mkasa mkubwa ambapo mtu mmoja amevamia kanisa kuu na kuvunja mlango mkuu na kisha kuanza kuharibu vitu vitakatifu, vikiwemo Tabernakulo na Ekaristi. Ni kufuru ya matakatifu.
Kavunja misalaba na mavazi ya misa. Nawaombeni mtumie vyombo vyenu vya habari ktk redio na television muupashe habari umma kuwa kitendo cha kudhalilisha imani yetu kimefanyika na tunakikemea na kukilaumu kwani kukaa kimya ni kama kuonesha hatuthamini imani yetu. Kwa wenye redio au tv, atakayehitaji "Audio" ya baba askofu, nitamtumia ili airushe na tuunganishe nguvu ya vyombo vya habari vya kanisa kukemea udhalimu dhidi ya imani katoliki.
Matukio ya uharibifu wa kanisa kuu la kiaskofu jimbo la Geita usiku wa kuamkia Jumapili trh 26 February 2023. Tukio limeripotiwa saa nane usiku. Uharibifu na kufuru zilizotokea ni kubwa sana. Mhusika amekamatwa. Mungu azidi kutulinda.
View attachment 2530803
Nikusaidieje [emoji848].Ndiyo Boss nimeshindwa,tumwite Melo atoe kombe kwa mshindi [emoji848]Umeamua kurudisha mpira kwa Kipa baada ya kukosa hoja?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😜😜😜😜😜😜Asante Boss,bahati mbaya sana hata sihangaiki kufungua link.Unachoka tu bure.Hizo nguvu elekeza kwenye kubaruzana na hao wengine.Thanks
Umeshindwa kujisaidia wewe mwenyewe utaweza kusaidia wengine?Nikusaidieje [emoji848].Naona mmekutana Pipa na mfuniko.
Ni kisebengo chako tu kuniquoteUmeshindwa kujisaidia wewe mwenyewe utaweza kusaidia wengine?
Naona debe tupu huna hoja ya maana zaidi ya kuruka ruka tu kama Kangaroo.
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847] link zimeisha Boss?[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Umeanza kuimba na taarabu mapema hivi?!Ni kisebengo chako tu kuniquote
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847] link zimeisha Boss?
Leta Boss link,au umeishiwa tumwambie Melo akupe kombe la ushindi[emoji2957][emoji2957]Nakusibiri mumalize kumtibu mungu mguu uliovunjwa
Vipi hali ya mungu aliyevunjwa mguu?Leta Boss link,au umeishiwa tumwambie Melo akupe kombe la ushindi[emoji2957][emoji2957]
Leta link wewe,umejipa kazi mwenyewe na sasa unabwata bwata nini tena [emoji2957][emoji2957]Vipi hali ya mungu aliyevunjwa mguu?
Leta link wewe,umejipa kazi mwenyewe na sasa unabwata bwata nini tena [emoji2957][emoji2957]
Eheee endelea [emoji847][emoji847][emoji847]Popo wenu keshawaruhusu wanaume kuolewa haya wakumbatie Mapadri wako
![]()
Francis becomes 1st pope to endorse same-sex civil unions
ROME (AP) — Pope Francis became the first pontiff to endorse same-sex civil unions in comments for a documentary that premiered Wednesday, sparking cheers from gay Catholics and demands for clarification from conservatives, given the Vatican’s official teaching on the issue.apnews.com
Litajitibu lenyeweWahuni wamevunja mguu wa Brian Deacon. Sijui wataliomba hivyo hivyo sanamu lake likiwa lina ulemavu au wataliunga gundi kwenye ibada zao.
Anawalaani , wewe endelea kuwatetea
Naunga mkono hoja, hao labda wametumwa na wamelipwaNarudia tena kuandika hakuna mkristo wa dhehebu lolote anayeweza kuingia kwenye kanisa la wengine na kufanya uharibifu.
Kama kuna tofauti imetokea miongoni mwa viongozi kwa viongozi, viongozi kwa waumini au waumini kwa waumini hakuna mshirika atakayefikia uamuzi wa kwenda kuingia kanisani kufanya uharibifu huo. Hata kama ni vibaka, ni kibaka gani huyo asiye na hofu na Mungu?
Huyo kibaka au mwizi na jambazi amekulia wapi kiasi cha kukosa hata mafundisho ya watoto ya shule ya jumapili? Kwanza kanisa ni mahali patakatifu na ni nyumba ya kumuabudu Mungu.
Hata wavuta bangi na walevi wanaheshimu nyumba za kuabudia