Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Naona wahuni wamembogozoa mungu yesu wameona wampe kilema kabisa.

Ngoja nimwite ndugu yangu semenya wa ukaldayo Stress Challenger aje amsaidie kumuunga mguu.
Mungu amekula vitasa vya wahuni😁 kwqnini ameshindwa kujitetéa Hadi avunjwe mguu kirahisi hivyo...enewei poleni sana
 
Anaesema mbona msikitini wanaibiwa sana tu, msikitini wanaiba nini zaidi ya kuchukua ule uchafu wa viatu unaorundikwa kando ya mlango wa kuingilia? Tena wanaochukua huo uchafu ni waumini wao humohumo
 
Anaesema mbona msikitini wanaibiwa sana tu, msikitini wanaiba nini zaidi ya kuchukua ule uchafu wa viatu unaorundikwa kando ya mlango wa kuingilia? Tena wanaochukua huo uchafu ni waumini wao humohumo
Huwa munanifurahisha zaidi mnajua viatu ni uchafu lakini ninyi mnaingia nao katika makanisa nahisi hayo nayo ni machafu bila shaka ndio mana ni kawaida.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Anaesema mbona msikitini wanaibiwa sana tu, msikitini wanaiba nini zaidi ya kuchukua ule uchafu wa viatu unaorundikwa kando ya mlango wa kuingilia? Tena wanaochukua huo uchafu ni waumini wao humohumo
Uchafu kwako , lakini wengine ni kitu muhimu kwao, watu hatufanani , aliebiwa laki na alie ibiwa elfu 2 hawa wote wameibiwa na kila mtu anajua machungu yake mwenyewe
 
Anaesema mbona msikitini wanaibiwa sana tu, msikitini wanaiba nini zaidi ya kuchukua ule uchafu wa viatu unaorundikwa kando ya mlango wa kuingilia? Tena wanaochukua huo uchafu ni waumini wao humohumo
Kwahiyo unakubali kua kuingia na viatu kwenye Nyumba ya ibada ni kuingiza uchafu kwenye Nyumba ya Ibada?

Unawashauri nini wanaoingia na viatu kwenye Nyumba za ibada?
 
Wanaenda kuiba hadi kanisani??? Hii hatari
Unakumbuka tukio la ujambazi, lilotokea, mwaka juzi pale mbezi mwisho, kuelekea goba.
Waharifu hawajali dini, unavyoliogopa wewe kanisa, waharifu hawana dini, Walivyo washenzi wakikosa walichokududia hufanya uharibifu wa mali.
 
Kwahiyo unakubali kua kuingia na viatu kwenye Nyumba ya ibada ni kuingiza uchafu kwenye Nyumba ya Ibada?

Unawashauri nini wanaoingia na viatu kwenye Nyumba za ibada?
Ukivaa kobazi lazima uchafue sakafu.Lakini kama unavaa viatu na hukai jangwani ukichunga mifugo ndani ya nyumba ya ibada unaingia tuu.Kumbuka hata kutawadha kulikuwa kwa ajili ya wafugaji wa jangwani.Mmedandia mila
 
Ukivaa kobazi lazima uchafue sakafu.Lakini kama unavaa viatu na hukai jangwani ukichunga mifugo ndani ya nyumba ya ibada unaingia tuu.Kumbuka hata kutawadha kulikuwa kwa ajili ya wafugaji wa jangwani.Mmedandia mila
Masikini naona mnavyojiendesha kwa matamanio na sio maandiko;
Kutoka 3:5
Naye akasema, Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali hapo unaposimama ni nchi takatifu.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Narudia tena kuandika, hakuna mkristo wa dhehebu lolote anayeweza kwenda kwenye kanisa la wengine kufanya uharibifu na haiwezekani mshirika wa mahali anaposali anayeweza kuchukua hatua za kuharibu vitu vya kanisani anakosali labda awe na akili mbovu.

Hata wavuta bangi na walevi wanapaogopa sana kanisani. Kwa asili kanisa ni nyumba ya kuabudia Mungu hakuna aliyeweza kufanya uhuni ndani yake, na kama walifanikiwa kufanya uhuni cha moto walikipata bila mikonn ya wanadamu.

Kibaka au jambazi gani lisilo na hofu za kuingia kwenye nyumba za ibada za wengine kufanya ukora? Washirikina tu wenyewe wanapaogopa kama moto. Hawa watakuwa ni wahuni
Yesu si alikuwepo, roho mtakatifu alikuwepo vipi hakuona hilo tukio akatoa taarifa? Mpaka Yesu anavunjwa miguu yy yuko wapi?
 
Ukivaa kobazi lazima uchafue sakafu.Lakini kama unavaa viatu na hukai jangwani ukichunga mifugo ndani ya nyumba ya ibada unaingia tuu.Kumbuka hata kutawadha kulikuwa kwa ajili ya wafugaji wa jangwani.Mmedandia mila
Wazazi wako wana hasara kubwa sana kwa akili hiyo aisee,unaweza kukuta eti na wewe una familia na inakutegemea uiongoze!

Ni bora ungepiga kimya kama huna jibu kuliko kutapika hovyo hapa.
 
Back
Top Bottom