Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Unataka kumpelekea Roho Mtakatifu wako?ππππ Maana Yesu ni majeruhi πππNasubiri link Boss [emoji4][emoji4][emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kumpelekea Roho Mtakatifu wako?ππππ Maana Yesu ni majeruhi πππNasubiri link Boss [emoji4][emoji4][emoji4]
Ndiyo Boss nasubiri nimpelekee,usijibaraguze tuma link tafadhari [emoji4][emoji4]Unataka kumpelekea Roho Mtakatifu wako?[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Maana Yesu ni majeruhi [emoji13][emoji13][emoji13]
Katoliki ni Kanisa la siku hizi?Makanisa siku hizi kuna changamoto nyingi sana
Ndiyo Boss nasubiri nimpelekee,usijibaraguze tuma link tafadhari [emoji4][emoji4]
Madhara ya kutumia tundu la chini kuliko kichwaKwa nini ni makanisa tu? Haijawahi kutokea kuna wahalifu wameingia katika yale masinagogi au yale mahekalu na kufanya uharibifu. Washenzi hao wakidekezwa na kufichwafichwa kisiasa wataendeleza ushetani wao kwa kuingia kwenye makanisa mengine
We mpuuuzi njoo ujionee umejibiwa hukuNarudia tena kuandika hakuna mkristo wa dhehebu lolote anayeweza kuingia kwenye kanisa la wengine na kufanya uharibifu.
Kama kuna tofauti imetokea miongoni mwa viongozi kwa viongozi, viongozi kwa waumini au waumini kwa waumini hakuna mshirika atakayefikia uamuzi wa kwenda kuingia kanisani kufanya uharibifu huo. Hata kama ni vibaka, ni kibaka gani huyo asiye na hofu na Mungu?
Huyo kibaka au mwizi na jambazi amekulia wapi kiasi cha kukosa hata mafundisho ya watoto ya shule ya jumapili? Kwanza kanisa ni mahali patakatifu na ni nyumba ya kumuabudu Mungu.
Hata wavuta bangi na walevi wanaheshimu nyumba za kuabudia
Da!Mi naona kama yamevunjwavunjwa masanamu humo kanisani basi mvunjaji anaenda peponi moja kwa moja.
Sanamu unaita vitu vitakatifu kweli?
Mnamdhalilisha masihi kwa kumchongea sanamu.
Sanamu hilo sio YESU, wacha livunjwe miguu, huyo amewasaidia ku prove kwamba mnachemka kuabudu sanamu.
Yesu halisi haitaji binadamu ama vyombo vya dola kumtetea.
Eti ufunge novena kuomba mtu adhurike kwa sababu kamvunja miguu yesu wako wa mchongo, hiyo ni akili?
Mungu alie hai hawezi kudhurumiwa na mwanadamu aslani.
Yesu Masihi hawezi piganiwa na mwanadamu bali hujipigania mwenyewe.
Huyo alievunjwa miguu ni yesu wenu sio Yesu Masihi.
Huyo wenu ni yesu wa mchongo ndio maana ye kashindwa kujitetea ila nyie wjinga mishipa imewatoka kumtetea wakati ye hajui kinachoendelea[emoji1787]
Sasa mtakwenda kuliokota na kulitia supa grue na kurudishia !
Wajameni akili zetu zifanye kazi basi japo kiduchu
Ndiyo Boss nasubiri nimpelekee,usijibaraguze tuma link tafadhari [emoji4][emoji4]
Ungemuuliza baba ako ana majibu mazuri sanajuu ya hiloWewe ulishawahi kubanduliwa na hao maparoko tupe ushuhuda tafadhali.!
Wale wakukurupuka na ku attack imani zingine waje waone hii,au ndio watakimbia humu kwa aibu?We mpuuuzi njoo ujionee umejibiwa hukuView attachment 2531914
Asante sana,bado unaendelea kutuma au leo tuishie hapa [emoji3][emoji3]
Hivi ni vitu vya kawaida sana.Ukweni kwa mdogo wangu wote familia nzima wamebadili dini wamekuwa wakatoliki safi kutoka Islam.Hakuna cha ajabu watu kubadili madhehebu/Dini.Tuendelee na link Mkuu [emoji4][emoji4]
Acha hasira jibu swali tu umebanduliwa mara ngapi?Fanya umuulize baba ako, utayapata majibu
Kama unaogopa kumuuliza baba ako, muulize hata mama ako. Majibu anayoAcha hasira jibu swali tu umebanduliwa mara ngapi?
Unakwepa swali linalokuhusu kwanini sasa?
Dini ya chuki,visasi, fitina na roho mbaya inajulikanaWale walioua mapadri ni wakina nani? Jitazameni vizuri humo ndani
Any way nipe majibu waliyokuwa hao baba na mama yako.Kama unaogopa kumuuliza baba ako, muulize hata mama ako. Majibu anayo
Kweli kabisa, ndiomaana mapadri wanauawa na kesi hakuna, mbaya zaidi wengine wanauawa ndani ya compound ya kanisaDini ya chuki,visasi, fitina na roho mbaya inajulikana
Magaidi wa uamsho waliokuwa wakiwashambulia mapadre wameachiwa huru baada ya mwenzao kuingia madarakaniKweli kabisa, ndiomaana mapadri wanauawa na kesi hakuna, mbaya zaidi wengine wanauawa ndani ya compound ya kanisa