Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia leo ambapo watu waliovamia wamevunja mlango na kuingia ndani kisha kuharibu vitu vitakatifu vikiwemo mavazi ya misa na kuvunja misalaba.

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita ACP Berthaneema Mlayi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba watu wawili wanashikiliwa na upepelezi wa tukio hilo unaendelea.


=====
Askofu Flavian Kassala
Wapendwa, nawatangazia kuwa jimbo katoliki Geita tumepatwa mkasa mkubwa ambapo mtu mmoja amevamia kanisa kuu na kuvunja mlango mkuu na kisha kuanza kuharibu vitu vitakatifu, vikiwemo Tabernakulo na Ekaristi. Ni kufuru ya matakatifu.

Kavunja misalaba na mavazi ya misa. Nawaombeni mtumie vyombo vyenu vya habari ktk redio na television muupashe habari umma kuwa kitendo cha kudhalilisha imani yetu kimefanyika na tunakikemea na kukilaumu kwani kukaa kimya ni kama kuonesha hatuthamini imani yetu. Kwa wenye redio au tv, atakayehitaji "Audio" ya baba askofu, nitamtumia ili airushe na tuunganishe nguvu ya vyombo vya habari vya kanisa kukemea udhalimu dhidi ya imani katoliki.

Matukio ya uharibifu wa kanisa kuu la kiaskofu jimbo la Geita usiku wa kuamkia Jumapili trh 26 February 2023. Tukio limeripotiwa saa nane usiku. Uharibifu na kufuru zilizotokea ni kubwa sana. Mhusika amekamatwa. Mungu azidi kutulinda.
View attachment 2530803

 
Hivi ni vitu vya kawaida sana.Ukweni kwa mdogo wangu wote familia nzima wamebadili dini wamekuwa wakatoliki safi kutoka Islam.Hakuna cha ajabu watu kubadili madhehebu/Dini.Tuendelee na link Mkuu [emoji4][emoji4]
Tuletee video tuone , usijipakazie

 
Iwekwe wazi bila kufichwafichwa kwa hofu ya uchochezi.

Hao wahalifu si wakristo, mkristo hawawezi kuingia kanisa lolote na kuharibu vilivyomo humo.

Pia hao si wapani, hao wahalifu itakuwa ni wale masheitwaan maana wao huwa hawana hofu kuingia nyumba za ibada za wengine na kufanya uharibifu
Kila siku nasema kuwa huna akili haya toa ushahidi wa hilo ulilosema ,umeona taarifa ya polisi ya kiuchunguzi muhusika ni nani ?

Ukiitwa juha itakuwa makosa ?
 
Tumia akili kidogo uliyobarikiwa kabla ya kukomenti, adui wa mtu ni mtu mwenyewe.

Acha vyombo husika viliishughulikie kwanza
Unachofanya ni kuchochea tatizo tu.
Ulimuonya sasa taarifa ya kiuchunguzi inamuacha uzi na kumuaibisha hivi sasa LOTH HEMA ananuka aibu.
 
Kuna watu humu ni wepesi Sana WA kujaji mambo,Yani kitu cha Kwanza ni lawama Kwa waislamu, je Una uhakika gani kwamba sio tukio la kiuhalifu?

Pili kama waislamu ndio wamefanya hivyo basi waadhibiwe Kwa mujibu wa sheria kwasababu Uislamu unachukia Sana mambo kama hayo.

Enzi za Mtume wasio waislamu waliachwa kuabudu katika nyumba za ibada Bila matatizo yoyote, kwani Uislamu uko wazi hakuna kulazimisha mtu kuingia katika Dini.

Na hata enzi za Mtume vile vile pale waislamu waliookuwa wanateswa na washirikina WA makka, Mtume aliwaambia nendeni Ethiopia kuna Mfalme ambaye ni mkristo lakini anapenda haki na wala hawadhulumu watu,kwahiyo hii inaonyesha ni kiasi
gani Uislamu upo Kati Kwa Kati na hauna fikra potofu na siku zote unasimamia katika haki.
Hawa watu wanasikitisha sana ,sasa hivi taarifa ya uchunguzi imebaini muhusika sijui watakuwa na lipi la kusema .
 
Kibaka na mwizi huwa wanaenda kuiba , humo ndani wamevunja tuu bila kuchukua chochote , means huyo mtu alikuwa na lengo lake tuu, ni kweli hakuna mkristo wala mpagani anayeweza fanya hv ,
Leta mrejesho wa taarifa ya kiuchunguzi ya polisi.
 
Tulionya kuwaachia huru wale jamaa,tusubiri mengi zaidi ya haya.
Ona jinsi ulivyokuwa jiwe lisilokuwa na akili haya toa ushahidi na tazama taarifa ya kiuchunguzi je ni sawa na unachodai ?
 
Kila siku nasema kuwa huna akili haya toa ushahidi wa hilo ulilosema ,umeona taarifa ya polisi ya kiuchunguzi muhusika ni nani ?

Ukiitwa juha itakuwa makosa ?
bado hujanitoa kwenye kwenye point, na daima hutanitoa, maaskofu wana hekima na busara kubwa kuweka mambo sawa. Lile jamabo ni la hatari sana, inatosha kutoa majibu walivyoweza kutoa. Kwa wenye akili kubwa tunajua hayo majibu yana maana gani. Akili ya kawaida haikubali mlevi aingie kanisani na kufanya uharibifu ule labda awe mwendawazimu. Dunia ndivyo ilivyo, rejea kwenye vita vya urusi na ukraine, bomu likaanguka ardhi ya paland, poland akaja juu akijiua na urusi kapiga ardhi yake. Na kwa vile ni mwanachama wa NATO, akajua NATO itaingia vitani rasmi kuipiga urusi. Marekani hii itakuwa balaa kubwa, akamaliza mzozo ule huku akijua ni nani aliyerusha kombora katika ardhi ya poland. Mambo mengine humalizwa kwa kwa hekima kubwa bila kusema uhalisia ili kuepusha madhara makubwa
 
bado hujanitoa kwenye kwenye point, na daima hutanitoa, maaskofu wana hekima na busara kubwa kuweka mambo sawa. Lile jamabo ni la hatari sana, inatosha kutoa majibu walivyoweza kutoa. Kwa wenye akili kubwa tunajua hayo majibu yana maana gani. Akili ya kawaida haikubali mlevi aingie kanisani na kufanya uharibifu ule labda awe mwendawazimu. Dunia ndivyo ilivyo, rejea kwenye vita vya urusi na ukraine, bomu likaanguka ardhi ya paland, poland akaja juu akijiua na urusi kapiga ardhi yake. Na kwa vile ni mwanachama wa NATO, akajua NATO itaingia vitani rasmi kuipiga urusi. Marekani hii itakuwa balaa kubwa, akamaliza mzozo ule huku akijua ni nani aliyerusha kombora katika ardhi ya poland. Mambo mengine humalizwa kwa kwa hekima kubwa bila kusema uhalisia ili kuepusha madhara makubwa
Kwa hiyo Askofu wako ni muongo sio?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
bado hujanitoa kwenye kwenye point, na daima hutanitoa, maaskofu wana hekima na busara kubwa kuweka mambo sawa. Lile jamabo ni la hatari sana, inatosha kutoa majibu walivyoweza kutoa. Kwa wenye akili kubwa tunajua hayo majibu yana maana gani. Akili ya kawaida haikubali mlevi aingie kanisani na kufanya uharibifu ule labda awe mwendawazimu. Dunia ndivyo ilivyo, rejea kwenye vita vya urusi na ukraine, bomu likaanguka ardhi ya paland, poland akaja juu akijiua na urusi kapiga ardhi yake. Na kwa vile ni mwanachama wa NATO, akajua NATO itaingia vitani rasmi kuipiga urusi. Marekani hii itakuwa balaa kubwa, akamaliza mzozo ule huku akijua ni nani aliyerusha kombora katika ardhi ya poland. Mambo mengine humalizwa kwa kwa hekima kubwa bila kusema uhalisia ili kuepusha madhara makubwa
Maneno mengi debe tupu ,weka uchunguzi wako wenye ushahidi kama maneno tupu na kutumia akili ya kawaida hata mimi akili yangu ya kawaida inaniambia wewe ndiye uliyefanya hiko kitendo.
 
Kila siku nasema kuwa huna akili haya toa ushahidi wa hilo ulilosema ,umeona taarifa ya polisi ya kiuchunguzi muhusika ni nani ?

Ukiitwa juha itakuwa makosa ?
daima nitabaki kuona zaidi kuliko wewe. Hayo majibu si uhalisia hakuna mlevi anayeweza kufanya hayo kanisani labda mwendawazimu. Tungeambiwa ni mwendawazimu tungeamini. Mlevi hapana!
 
Maneno mengi debe tupu ,weka uchunguzi wako wenye ushahidi kama maneno tupu na kutumia akili ya kawaida hata mimi akili yangu ya kawaida inaniambia wewe ndiye uliyefanya hiko kitendo.
hapo sasa unatoka nje ya mistari. Jaribu kuipa akili yako uwezo wa kusikia na kuona zaidi unachoambiwa na kuaminishwa utajua ukweli wa mambo
 
Maneno mengi debe tupu ,weka uchunguzi wako wenye ushahidi kama maneno tupu na kutumia akili ya kawaida hata mimi akili yangu ya kawaida inaniambia wewe ndiye uliyefanya hiko kitendo.
jaribu kutafuta ukweli zaidi ya uchoambiwa na kuona. Tumia akili ya kawaida tu, common sense communication. Kuna mambo mengi yako kama yalivyo lakini ki uhalisia hayako hivyo
 
Back
Top Bottom