samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Yule jamaa mbona mlikuwa hammwambii na mlikuwa kila siku mnaitisha makongamano kumsifia na kumpamba..
Tulikuwa tunawahesabu tu na sasa tunajua nani ni viongozi wa dini...Sheikh Issa Ponda, Askofu Bagonza, Askofu Mwamakula nk hawa ndio tunawasikiliza kwa sasa....
Tulikuwa tunawahesabu tu na sasa tunajua nani ni viongozi wa dini...Sheikh Issa Ponda, Askofu Bagonza, Askofu Mwamakula nk hawa ndio tunawasikiliza kwa sasa....