Hutaki mama aandikiwe wakati alikuwa makamu wa Rais.Nyumba zimevunjwa mwaka majuzi.. kwanini hawakumuandikia muhusika, wanamuandikia huyu mama sasaiv. Kama sio unafiki ni nini?
Wote tunajua Magu alikuwa hataki ushauriHutaki mama aandikiwe wakati alikuwa makamu wa Rais.
Unaijua ku klax klan( kkk) ambayo ndo imekuwa extended to kkkt( ku klax klan tanzania). Hebu google afu ndo utajua unachoongea bro. Haya mambo ni hatariKutokujua kwako juhudi za kanisa kipind cha meko haimaanish hawakufanya , n wewe hujui
KKKT ilitishiwa hadi kufutiwa usajili umekalisha makalio unaandika ujinga, viongoz wa kanisa wangapi walikamatwa kuhojiwa uraia wao ? Kakobe hayakumkuta kanisani kwake ? Eti mkristo, mkristo usiejua hata moja la wa wakristo ?? Nyaraka za pasaka wakati zinaandikwa ulikua umefariki??
Mkuu Pythagoras , ni vile tu niliandika kwa ufupi. Hao wachache walimama wao kama wao kwa hofu ya Mungu wao. Mie naongelea zile jumuia zao sijui TEC , jumuia ya Pentecost, CCT ambazo wakati wa JK walitoa sana matamkoNiwemugizi unamfahamu mkuu? Padre Raymond Saba unamjua? Vipi Askofu Bagonza?