Kanisa la Waadventist Wasabato limchukulie hatua za kidhamu mshiriki wao Mafwele

Kanisa la Waadventist Wasabato limchukulie hatua za kidhamu mshiriki wao Mafwele

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
 
Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
Tatizo ndio mtoa sadaka kubwa hapa kanisani..
Dah Mungu anajua kututega jamani.
 
Kwa ushahidi upi walionao kama kanisa hadi wamchukulie hatua?

Lady jaydee alionekana hadharani akiimba miziki ya kidunia ushahidi wa wazi
Nanukuu: "Kwa ushahidi upi walionao kama kanisa hadi wamchukulie hatua?"
Kumbuka Sauti ya wengi ni sauti ya Muumba wetu i.e. Mungu.
Lakini pia zingatia kwamba Mungu ndiye aonaye sirini. Mungu anajua yote - Hahitaji ushahidi. Kwa kuwa huyo ndg. aliyetajwa ni mtu muumini katika Imani yao; basi akishika kitabu kitakatifu, yani Bibilia, na kuapa mbele ya kanisa, kama mtoa mada alivyosema "kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake" , itakuwa bora kwake na ndipo atajua kwamba Mungu hadhihakiwi (Biblia;

Gal 6:7-9 Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi

Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna ...) 🙏
 
Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
amani yetu.png
 
Nanukuu: "Kwa ushahidi upi walionao kama kanisa hadi wamchukulie hatua?"
Kumbuka Sauti ya wengi ni sauti ya Muumba wetu i.e. Mungu.
Lakini pia zingatia kwamba Mungu ndiye aonaye sirini. Mungu anajua yote - Hahitaji ushahidi. Kwa kuwa huyo ndg. aliyetajwa ni mtu muumini katika Imani yao; basi akishika kitabu kitakatifu, yani Bibilia, na kuapa mbele ya kanisa, kama mtoa mada alivyosema "kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake" , itakuwa bora kwake na ndipo atajua kwamba Mungu hadhihakiwi (Biblia;

Gal 6:7-9 Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi

Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna ...) 🙏
Sheria zote uzionazo za kuhukumu mtu zilianzia kanisani
Mahakama za sasa zime copy taratibu za kanisani

Kuwa kanisani mtu kuchukuliwa hatua kama mkosaji lazima kuwe na ushahidi usio na shaka ndio Mahakama za dunia zi ka copy kanisani kuwa mtu hatahesabiwa mhalifu hadi ithibitike beyond reasonable doubt kuwa mhalifu na Mahakama kama ilivyo kwa kanisa.

Kanisa huwa strict kuliko Mahakama halifanyi kazi kwa umbeya au minong'ono ya barabarani ni ushahidi wa uhakika usio na shaka
 
Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
Huo ni uongo
Hakuna marufuku kwenye Hilo.
Kusema hivyo hakuhalalishi matendo maovu ya mafwele
 
Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
Usipotoshe umma, Kanisa la Wasabato halijazuia Waumini wake kufanya siasa. Waumini wanaweza kufanya siasa, ila Kanisa kama taasisi haliwezi kufanya siasa. Ben Carson ni Msabato na anafanya siasa Marekani, Rais Hakainde Hechilema wa Zambia ni Msabato na anafanya siasa. Usipotishe umma.
 
Kibunda Baaaba, Hawa ndo wanachangia 80% ya gharama za ujenzi, makambi, magari na majumba ya wachungaji, huduma za kwaya na shughuli zote za injiri. Jeuri hiyo ya kuwatumbua wanatoa wapi wakati kanisa nalo linataka kua na nguvu hata huko Serkalini.

Sisemi haya kwa kuotea mimi ni Msabatho tangu nazaliwa nimetumika mpka nimekua mwisho nikaona kumekua na uzandiku kama madhehebu mengine wacha nipumzike kidogo.

Iweni na Sabatho njema.
 
Sheria zote uzionazo za kuhukumu mtu zilianzia kanisani
Mahakama za sasa zime copy taratibu za kanisani

Kuwa kanisani mtu kuchukuliwa hatua kama mkosaji lazima kuwe na ushahidi usio na shaka ndio Mahakama za dunia zi ka copy kanisani kuwa mtu hatahesabiwa mhalifu jadi ithibitike beyond reasonable doubt kuwa mhalifu na Mahakama kama ilivyo kwa kanisa.

Kanisa huwa strict kuliko Mahakama halifanyi kazi kwa umbeya au minong'ono ya barabarani ni ushahidi wa uhakika usio na shaka
Sawa. Je, ni kila kosa hufanyika hadharani kwa mujibu wa kanisa? Je, kwa mfano mtu amebakwa vichakani/porini huko kusiko na aliyeshuhudia tukio; sio sahihi kwamba aliyebakwa anasimama kuwa ndiye shahidi #1 wa kuaminika? Unamchukuliaje Sativa.
 
Sheria zote uzionazo za kuhukumu mtu zilianzia kanisani
Mahakama za sasa zime copy taratibu za kanisani

Kuwa kanisani mtu kuchukuliwa hatua kama mkosaji lazima kuwe na ushahidi usio na shaka ndio Mahakama za dunia zi ka copy kanisani kuwa mtu hatahesabiwa mhalifu jadi ithibitike beyond reasonable doubt kuwa mhalifu na Mahakama kama ilivyo kwa kanisa.

Kanisa huwa strict kuliko Mahakama halifanyi kazi kwa umbeya au minong'ono ya barabarani ni ushahidi wa uhakika usio na shaka
Hilo ndo kanisa la sasa linapuuza ukweli mwingi kwa kisingizio cha ushahidi usio na shaka mnapeana mimba hovyo humo kanisani na kwayani na bado mnasali na kuhudumu kwa kisingizio cha ushahidi wapuuzi kweli nyie.

Yule mwimnaji mpaka anakufa akizini na familia na kanisa likijua lakin hakuwahi hata kuulizwa, Kibunda baba.
 
Vyeo vya kugombea ndo roho ya unabii inakataza Ila vya kuteuliwa roho ya unabii haikatazi
Note: Vyeo vya kuteuliwa ndo Uchawa na Mkono wa CCM, lakini vyeo vya kuchaguliwa na wananchi ndo vyeo vyeo kutumikia Umma.

Hapo unasemaje?
 
Hilo ndo kanisa la sasa linapuuza ukweli mwingi kwa kisingizio cha ushahidi usio ma shaka mnapeana mimba hovyo humo kanisani na kwayani na bado mnasali na kuhudumu kwa kisingizio cha ushahidi wapuuzi kweli nyie.

Yule mwimnaji mpaka anakufa akizini na familia na kanisa likijua lakin hakuwahi hata kuulizwa, Kibunda baba.
Naunga mkono hoja.
 
Back
Top Bottom