Nanukuu: "
Kwa ushahidi upi walionao kama kanisa hadi wamchukulie hatua?"
Kumbuka Sauti ya wengi ni sauti ya Muumba wetu i.e. Mungu.
Lakini pia zingatia kwamba Mungu ndiye aonaye sirini. Mungu anajua yote - Hahitaji ushahidi. Kwa kuwa huyo ndg. aliyetajwa ni mtu muumini katika Imani yao; basi akishika kitabu kitakatifu, yani Bibilia, na kuapa mbele ya kanisa, kama mtoa mada alivyosema
"kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake" , itakuwa bora kwake na ndipo atajua kwamba Mungu hadhihakiwi (Biblia;
Msidanganyike,
Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna ...) 🙏