Kanisa la Waadventist Wasabato limchukulie hatua za kidhamu mshiriki wao Mafwele

Kanisa la Waadventist Wasabato limchukulie hatua za kidhamu mshiriki wao Mafwele

na mapolisi wasabato ni wengi mno, usabato si upo mwingi kwa wakurya na wajaluo huko na wajita. wengi mno. na tabia zao sasa.
Yeasu akija bila kibali cha Serkali hawa maafande ndo watamtia kizuizini round hii.
 
Kanisa linahukumu ? Kwanza sehemu ambayo so called wakosaji itakiwa wakaribiswe ni Kanisani...
 
Hata kama huyu mtajwa angeua live na ikajulikana wazi na kila mtu bado kanisa lisinge mtumpa mdhambi maana hata Yesu hakuwatupa wadhambi.
Kanisani ndio sehemu pekee ya kukimbilia kwa mtu yeyote ambaye dhambi imemchosha na hivyo kanisa linawapokea kwa mikono miwili huku likiwaonyesha upendo wa Yesu.
Ni ajabu kuona makanisa ya Leo mdhambi anatengwa na kunyanyapaliwa
ni kweli, single mothers na wazinzi ndio mnavyojifariji. basi hata huko church muwe mnaenda basi, na mmaanishe. kwa kifupi, Biblia inasema hakuna shirika kati ya nuru na giza, tokeni mkatengwe nao.
 
Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
nani atakaeanzisha hilo timwili? Atakuwa hajipendi
 
Hata kama huyu mtajwa angeua live na ikajulikana wazi na kila mtu bado kanisa lisinge mtumpa mdhambi maana hata Yesu hakuwatupa wadhambi.
Kanisani ndio sehemu pekee ya kukimbilia kwa mtu yeyote ambaye dhambi imemchosha na hivyo kanisa linawapokea kwa mikono miwili huku likiwaonyesha upendo wa Yesu.
Ni ajabu kuona makanisa ya Leo mdhambi anatengwa na kunyanyapaliwa
Nanukuu: "Ni ajabu kuona makanisa ya Leo mdhambi anatengwa na kunyanyapaliwa"
Hii 👆 👆 👆 ni hoja nzito sana na imewashinda wengi mno kuielewa. Hivi ndivo alivyofanya Yesu katika juhudi zake za kuifundiha Jamii lakini hakueleweka hadi ikapelekea yeye kushtakiwa hata kudhulumiwa uhai kwa kuuawa kwa adhabu ya aibu kubwa pale msalabani. Hoja zao zilikuwa anakula na wenye dhambi na watoza ushuru, anashirikiana na makahaba na rafiki wa walevi na watendao maovu, anahamasiha watu wasilipe kodi kwa Kaizar n.k. n.k.
Hivi leo zipo kelele kubwa sana na mtu anaonekana ni kama hazimtoshi pale akiawaambiwa watu kwamba hakuna sababu ya kimsingi kuwanyanyapaa au kuwatenga mashoga ila hao mashoga waeleweshwe, wafundishwe na washauriwe kwamba wanachofanya sio sawa -wabadilike na kuenenda kwenye njia iliyo sahihi yani waishi maisha ya uadilifu lakini ni Jamii hiyo hiyo inapiga kelele kwamba walioathirika na VVU au wenye magonjwa sugu ya zinaa wasinyanyapaliwe. Kanisa hapo limewapiga bao kwani linawakumbatia wote bila ubaguzi.
 
Nanukuu: "Ni ajabu kuona makanisa ya Leo mdhambi anatengwa na kunyanyapaliwa"
Hii 👆 👆 👆 ni hoja nzito sana na imewashinda wengi mno kuielewa. Hivi ndivo alivyofanya Yesu katika juhudi zake za kuifundiha Jamii lakini hakueleweka hadi ikapelekea yeye kushtakiwa hata kudhulumiwa uhai kwa kuuawa kwa adhabu ya aibu kubwa pale msalabani. Hoja zao zilikuwa anakula na wenye dhambi na watoza ushuru, anashirikiana na makahaba na rafiki wa walevi na watendao maovu, anahamasiha watu wasilipe kodi kwa Kaizar n.k. n.k.
Hivi leo zipo kelele kubwa sana na mtu anaonekana ni kama hazimtoshi pale akiawaambiwa watu kwamba hakuna sababu ya kimsingi kuwanyanyapaa au kuwatenga mashoga ila hao mashoga waeleweshwe, wafundishwe na washauriwe kwamba wanachofanya sio sawa -wabadilike na kuenenda kwenye njia iliyo sahihi yani waishi maisha ya uadilifu lakini ni Jamii hiyo hiyo inapiga kelele kwamba walioathirika na VVU au wenye magonjwa sugu ya zinaa wasinyanyapaliwe. Kanisa hapo limewapiga bao kwani linawakumbatia wote bila ubaguzi.
kwa taarifa yako, Yesu aliwahubiria, ila hakuambatana nao, aliwaponya na kuwasamehe dhambi, ila hakuwajumuisha kwenye thenashara. Hata zakayo alimwendea na kumpelekea habari njema tu, ila hakuungana naye kwenye maisha yake ya uthurumati. wafuasi wa shetani na wafuasi walioamua kumfuata Mungu haviwezi kukaa pamoja hata siku moja. na Biblia ndivyo inavyosema.
 
Naweza pata nukuu? Kwataarifa yako roho ya unabii inakataza mpaka bima za maisha na kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi. Imeonya juu ya kujihusisha na siasa, na mama White anasema endapo wewe utapiga kura na huyo uliyempigia akawa corrupt basi utakuwa umeshiriki uovu huo.
sitapga kura tena
 
Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
Unajua walichopata wale jamaa walienda kumshitaki yule mwanamke Kwa YESU juu ya uzinifu?🤫
 
Nanukuu: "Ni ajabu kuona makanisa ya Leo mdhambi anatengwa na kunyanyapaliwa"
Hii 👆 👆 👆 ni hoja nzito sana na imewashinda wengi mno kuielewa. Hivi ndivo alivyofanya Yesu katika juhudi zake za kuifundiha Jamii lakini hakueleweka hadi ikapelekea yeye kushtakiwa hata kudhulumiwa uhai kwa kuuawa kwa adhabu ya aibu kubwa pale msalabani. Hoja zao zilikuwa anakula na wenye dhambi na watoza ushuru, anashirikiana na makahaba na rafiki wa walevi na watendao maovu, anahamasiha watu wasilipe kodi kwa Kaizar n.k. n.k.
Hivi leo zipo kelele kubwa sana na mtu anaonekana ni kama hazimtoshi pale akiawaambiwa watu kwamba hakuna sababu ya kimsingi kuwanyanyapaa au kuwatenga mashoga ila hao mashoga waeleweshwe, wafundishwe na washauriwe kwamba wanachofanya sio sawa -wabadilike na kuenenda kwenye njia iliyo sahihi yani waishi maisha ya uadilifu lakini ni Jamii hiyo hiyo inapiga kelele kwamba walioathirika na VVU au wenye magonjwa sugu ya zinaa wasinyanyapaliwe. Kanisa hapo limewapiga bao kwani linawakumbatia wote bila ubaguzi.
Mdhambi ukimtenga umempoteza kabisaaa
 
Unajua walichopata wale jamaa walienda kumshitaki yule mwanamke Kwa YESU juu ya uzinifu?🤫
ni kwa sababu na wao hawakuwa wafuasi wa Yesu, walikuwa wafuasi wa dini wanafiki kama wewe tu na Yesu hakuambatana na yule mwanamke, alimsamehe dhambi na kumwambia asitende dhambi tena. kasome mistari vizuri.
 
Mdhambi ukimtenga umempoteza kabisaaa
umempoteza akitokea wapi sasa wakati alishapotea na yupo upotevuni? huwa unavua samaki kwa kuingia katikati ya maji? au unakaa kwenye mtumwi au njen ndio urushe ndowana kuishawishi samaki ije uivue?
 
image_1726856942722.png
Huyu nani mbona anatrend huku Johannesburg? Kweli duniani wawili wawili
 

Attachments

  • image_1726856931894.png
    image_1726856931894.png
    669.8 KB · Views: 1
Ellen G. White amekataa waumini kufanya siasa, amesema kazi pekee waliyonayo ni kueneza ujumbe wa malaika watatu.
Acha uongo wewe. SDA haijakataza watu kufanya siasa. Rais Hichilema hadi leo ni mzee wa kanisa.
 
Yeasu akija bila kibali cha Serkali hawa maafande ndo watamtia kizuizini round hii.
Hahahaa. Kwani wale wa kule bustani ya mizeituni hawakuwa maafande?
Atahitaji vp kibali cha Serikali ilhali hayuko kwenye nchi wala chini ya Serikali yoyote? Atakuja ghafla bin vuu (ref. Math. 24:27).
 
Hahahaa. Kwani wale wa kule bustani ya mizeituni hawakuwa maafande?
Atahitaji vp kibali cha Serikali ilhali hayuko kwenye nchi wala chini ya Serikali yoyote? Atakuja ghafla bin vuu (ref. Math. 24:27).
Asije tu akajichanganya akavuruga michongo ya watu kama kule Rumi na Uyahudini, Mafwele ataagizwa amshughulikie.
 
Mdhambi ukimtenga umempoteza kabisaaa
Yeah! Kumbe ukijitahidi unaweza kumbadilisha na akawa mtu mwema tena akakusaidia sana katika mishe zako kama vile Yesu alivyombadilisha Sauli i.e Paul ambaye baada ya upofu ule kutoweka, aligeuka kuwa ni Mtume shujaa na anatrend sana kwenye uenezaji wa neno la Mungu lakini kumbuka ndo huyohuyo Paul aliwaua wafuasi wengi sana wa Yesu na aliwasweka wengi magerezani, alichoma moto makanisa n.k. n.k. lakini mwisho alibadilika.
 
Back
Top Bottom