Kanisa la Waadventist Wasabato limchukulie hatua za kidhamu mshiriki wao Mafwele

Kanisa la Waadventist Wasabato limchukulie hatua za kidhamu mshiriki wao Mafwele

Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
wasabato siku zote wanafiki sana, huwa wanajifanya washika amri ila ni watu wa ajabu sana.
 
Kwahiyo huamini kuwa alikuwa nabii? Hakuna sehemu yoyote ambayo ameshauri watu wajihusishe na siasa, mara zote amesisitiza waumini kujiandaa na kuwaandaa wengine kwaajili ya ujio wa Yesu. Mafwele, Boniphace, Sabaya, Musiba wanapaswa kuhubiri injili na kuacha mambo ya siasa.
Mkuu; Zingatia na uelewe kwamba Kila mtu ni Nabii kwa namna moja au nyingine na katika nyakati tofauti.
Jitahidi sana kutokuhukumu watu kwa kile unachoona au kusikia wanatenda au wametenda. Katika yote wayatendayo au waliyotenda lazima lipo jambo moja au zaidi lililo jema unaloweza kujifunza kutoka kwao - hata hao uliowataja hapo juu, sio 100% walikuwa ni waovu tokea kuzaliwa kwao au kwamba kila wafanyalo ni jambo ovu. Halafu tena usiwapangie nini wafanye ila ww wape tu ushauri na uwaache wafanye kile wanachodhani kwa mtizamo wao kuwa ndicho cha kufanya.
 
Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
Hahaha
 
wasabato siku zote wanafiki sana, huwa wanajifanya washika amri ila ni watu wa ajabu sana.
Sanaa......unakumbuka jamaa anaitwa Ogutu alikuwa Dc wa Dodoma, Sabaya, Musiba.....wote hawa ni wasabato.

Sijui wanamwabudu Mungu yupi.
 
Sanaa......unakumbuka jamaa anaitwa Ogutu alikuwa Dc wa Dodoma, Sabaya, Musiba.....wote hawa ni wasabato.

Sijui wanamwabudu Mungu yupi.
bi elen white aliwadanganya akawatengenezea cult ya kishetani wakiamini wanaweza kumpendeza Mungu kwa matendo ya sheria, wameishia kutamka mdomoni ila hawawezi kushinda dhambi bila kuokoka. ni wafuasi wa Musa badala ya Yesu Kristo. ellen white mwenyewe alitoa unabii mwingi tu wa uongo, alikuwa nabii mwongo kuliko wote nadhani. miaka ile alishatabirigi dunia kuisha, ila mpaka leo ipo, na bado watu wanaendelea kumfuata.
 
Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
Kwani ana Sali kanisa lipi la Sda hapo Daslma
 
Sawa endelea kuokotwa ukitosheka utapumzika, Watu wamepigwa tangu enzi za Dr Livingston na hakuna cha maana kanisa limefanya hushtuki?
Sio kweli bro. Kwa mfano mabo ya Elimu na Afya yaliyoanzishwa na makanisa ni watu walipigwa? hadi hapo hakuna na huoni cha maana kanisa limefanya?
Je, makanisa (hata Serikali) wanaposema usiue, usizini, usiibe n.k. ni kwamba tunaokotwa??
Mm nashtuka kwamba bado mpaka sasa wapo baadhi ya watu hawaoni kuna kitu cha maana kanisa limefanya.
 
Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
Unaweza ukatuambia siasa maana yake ni nini? Kama mna ushahidi dhidi ya vitendo vya Mafwele kwanini msiwasilishe ili afikishwe mahakamani?
Punguza unyumbu wa kufuatisha kila kinacho zungumzwa bila kufanya upembuzi yakinifu.
 
na mapolisi wasabato ni wengi mno, usabato si upo mwingi kwa wakurya na wajaluo huko na wajita. wengi mno. na tabia zao sasa.
 
Hata kama huyu mtajwa angeua live na ikajulikana wazi na kila mtu bado kanisa lisinge mtumpa mdhambi maana hata Yesu hakuwatupa wadhambi.
Kanisani ndio sehemu pekee ya kukimbilia kwa mtu yeyote ambaye dhambi imemchosha na hivyo kanisa linawapokea kwa mikono miwili huku likiwaonyesha upendo wa Yesu.
Ni ajabu kuona makanisa ya Leo mdhambi anatengwa na kunyanyapaliwa
 
Back
Top Bottom