Kanisa la Waadventist Wasabato limchukulie hatua za kidhamu mshiriki wao Mafwele

Kanisa la Waadventist Wasabato limchukulie hatua za kidhamu mshiriki wao Mafwele

Hakuna mkate mgumu mbele ya chai buana.

Kanisa lolote ukiwa na kibunda wewe ni mfalme ndani ya hiyo himaya.

Hakuna imani ambayo inaweza kumtenga tajiri hata akiwa jambazi labda akamatwe na kushitakiwa na serikali hapo ndipo kanisa litatoa adhabu.

Hakimu na mwenye mamlaka wanasema ni Allah, mwenyeezi Mungu tu, ndiye anaweza kufanya tofauti na makanisa.

Vijana tafuteni pesa mpate ufalme wa dunia kila pahala.
 
Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.🥺🤔🙇🏿‍♂
 
Ellen G. White amekataa waumini kufanya siasa, amesema kazi pekee waliyonayo ni kueneza ujumbe wa malaika watatu.
Ellen G. White is not the authority of the church, neno lake sio amri, yeye alikuwa muumini kama wewe na mimi.

Ellen G. White alishauri waumini wa SDA wasijihusishe na siasa kwa sababu ya nature ya hayo mambo, ila hakuna marufuku au kufutwa ushirika ukijihusisha na siasa, kumbuka sio siasa zote chafu, kuna watu wanakuwa viongozi wanasaidia kweli watu, nikuulize swali kama Tanzania wote tungekuwa wasabato, na tumepigwa marufuku ya siasa nani angekuwa raisi sasa?? Nani angekuwa waziri??
Mama white ametuasa tujihusishe na siasa safi na sio siasa cha kuuana na machukizo kama zinazoendelea hapa Tz.


Just Think.
 
Naunga mkono hoja.
Kua mwaminifu, Mtii Mungu zishike Sheria za Nchi, Heshimu jamii mwisho Enjoy haya makanisa ni miradi ya watu utayataabikia sana na mwisho yatakusaliti na hayajawahi kua ja msaada wa kueleweka kwenye maisha zaidi ya kuaminishana umoja wa kinafiki.
 
Naweza pata nukuu? Kwataarifa yako roho ya unabii inakataza mpaka bima za maisha na kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi. Imeonya juu ya kujihusisha na siasa, na mama White anasema endapo wewe utapiga kura na huyo uliyempigia akawa corrupt basi utakuwa umeshiriki uovu huo.
Na jee; akiwa mwadilifu roho ya unabii inasemaje kwa hilo?
Roho ya Unabii, Roho ya Unabii......Bado manabii wa kweli wapo ck hizi au ni hawa matapeli wapiga hela?? (ref. Mathayo 24:11-24.)
 
Naweza pata nukuu? Kwataarifa yako roho ya unabii inakataza mpaka bima za maisha na kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi. Imeonya juu ya kujihusisha na siasa, na mama White anasema endapo wewe utapiga kura na huyo uliyempigia akawa corrupt basi utakuwa umeshiriki uovu huo.
Bro we ni msabato??

Mbona unatunga sana mambo
 
Nadhani Sasa ataanza kuvaa miwani nyeusi, mizura (boshori) kama Soudy Brown Kwa tunakoelekea,mwisho utaskia akutwa amejinyonga
 
Kwahiyo huamini kuwa alikuwa nabii? Hakuna sehemu yoyote ambayo ameshauri watu wajihusishe na siasa
Hujanielewa, nimesema alikuwa muumini kama mimi na wewe haimanishi nimemvua unabii wake au nimeshusha vyeo, lahasha ila nilichosema Mama White sio authority, authority ni Yesu pekee.
Ndio alishauri tusijihusishe na siasa, ila ni kwasababu ya nature ya siasa na siasa kwasababu ya siasa itself, kwan what is siasa?? Mtu akisema siasa za ujamaa unaelewa nn? Mtu akisema siasa za kipebari unaelewa nn??

Ndo maana nikasema sio siasa zote chafu.
 
Kua mwaminifu, Mtii Mungu zishike Sheria za Nchi, Heshimu jamii mwisho Enjoy haya makanisa ni miradi ya watu utayataabikia sana na mwisho yatakusaliti na hayajawahi kua ja msaada wa kueleweka kwenye maisha zaidi ya kuaminishana umoja wa kinafiki.
Mmmmh! 1. Kuwa mwaminifu✅
2. Mtii Mungu✔️✔️✔️
3. Zishike Sheria za nchi ☑️ it is subjective
4. Heshimu Jamii ☑️ It is subjective
5. Enjoy✔️
6. Haya makanisa ni miradi ya watu...............kuaminishana umoja wa kinafiki ✖️
 
Sawa. Je, ni kila kosa hufanyika hadharani kwa mujibu wa kanisa? Je, kwa mfano mtu amebakwa vichakani/porini huko kusiko na aliyeshuhudia tukio; sio sahihi kwamba aliyebakwa anasimama kuwa ndiye shahidi #1 wa kuaminika? Unamchukuliaje Sativa.
Kuepuka uzushi na sababu kanisa halikuweko huko vichakani

Hiyo kesi ikipelekwa mahakamani ikathibitika alibakac kanisa litachukua hatua mara moja tena kwa speed ya mwewe ikitoka tu hukumu
 
Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.

Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.

Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.

Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.

Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
Wao si mahakama, kuna mipaka of which kanisa mamlaka yake yanaishia wapi
 
Hilo ndo kanisa la sasa linapuuza ukweli mwingi kwa kisingizio cha ushahidi usio na shaka mnapeana mimba hovyo humo kanisani na kwayani na bado mnasali na kuhudumu kwa kisingizio cha ushahidi wapuuzi kweli nyie.

Yule mwimnaji mpaka anakufa akizini na familia na kanisa likijua lakin hakuwahi hata kuulizwa, Kibunda baba.
Mwimbaji yupi huyo?
 
Mmmmh! 1. Kuwa mwaminifu✅
2. Mtii Mungu✔️✔️✔️
3. Zishike Sheria za nchi ☑️ it is subjective
4. Heshimu Jamii ☑️ It is subjective
5. Enjoy✔️
6. Haya makanisa ni miradi ya watu...............kuaminishana umoja wa kinafiki ✖️
Sawa endelea kuokotwa ukitosheka utapumzika, Watu wamepigwa tangu enzi za Dr Livingston na hakuna cha maana kanisa limefanya hushtuki?
 
Hilo ndo kanisa la sasa linapuuza ukweli mwingi kwa kisingizio cha ushahidi usio na shaka mnapeana mimba hovyo humo kanisani na kwayani na bado mnasali na kuhudumu kwa kisingizio cha ushahidi wapuuzi kweli nyie.

Yule mwimnaji mpaka anakufa akizini na familia na kanisa likijua lakin hakuwahi hata kuulizwa, Kibunda baba.
Mwimbaji gani vilee
Au Marco?
 
Back
Top Bottom