TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai buana.
Kanisa lolote ukiwa na kibunda wewe ni mfalme ndani ya hiyo himaya.
Hakuna imani ambayo inaweza kumtenga tajiri hata akiwa jambazi labda akamatwe na kushitakiwa na serikali hapo ndipo kanisa litatoa adhabu.
Hakimu na mwenye mamlaka wanasema ni Allah, mwenyeezi Mungu tu, ndiye anaweza kufanya tofauti na makanisa.
Vijana tafuteni pesa mpate ufalme wa dunia kila pahala.
Kanisa lolote ukiwa na kibunda wewe ni mfalme ndani ya hiyo himaya.
Hakuna imani ambayo inaweza kumtenga tajiri hata akiwa jambazi labda akamatwe na kushitakiwa na serikali hapo ndipo kanisa litatoa adhabu.
Hakimu na mwenye mamlaka wanasema ni Allah, mwenyeezi Mungu tu, ndiye anaweza kufanya tofauti na makanisa.
Vijana tafuteni pesa mpate ufalme wa dunia kila pahala.