Kanisa la Waadventist Wasabato limchukulie hatua za kidhamu mshiriki wao Mafwele

iskariote hakuwa miongoni mwa thenashara?.
 
Kwa ushahidi upi walionao kama kanisa hadi wamchukulie hatua?

Lady jaydee alionekana hadharani akiimba miziki ya kidunia ushahidi wa wazi
Surat Al-Imran (3:19), ambapo Mwenyezi Mungu anasema:"Hakika dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..

."Hii inaonyesha kuwa, kwa mujibu wa Qur'an, Uislamu ni dini ya haki inayokubalika mbele ya Mwenyezi Mungu, ikiwa na maana ya kujisalimisha kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu. Uislamu unatokana na neno la Kiarabu "Islam", linalomaanisha "kujisalimisha" au "kujitoa kwa Mwenyezi Mungu".
 
Mbona wewe uajihusisha. Unaelewa siasa ni maisha ya kujitawala, usipotaka kama huna wadhifa serikalini basi jua utapngiwa maisha yako na hao wanasiasa
 
Mkuu; mbona hayo ni mambo (Mafundisho mawili tofauti) japokuwa yana chimbuko sawa? Habari za mlango mwembamba na njia nyembamba ref. Mathayo 7: 13-14: Lakini Sauti ya wengi ref. Math. 18: 20 na ni kwa wale wanaoliita Jina lake ........... Ila vyote ni kutoka kwenye kitabu cha Biblia; La kwanza likionesha kazi ya kuupata ufalme wa mbingu na ugumu uliopo, na la pili likionesha umuhimu wa maombi au sala za pamoja (Jumuiya) na uwezo wa sala au maombi ya namna hiyo.
 
Hizi chuki ni mbaya. Kwamba hao uliowaita wa sabato ndio waovu kuliko waumini wa madhehebu mengine. Ni mwongozo upi wa kanisa la wasdventista wa sabato unaokataza muumini mmoja mmoja kuwa mwanasiasa? Ninachokujukisha ni kwamba kanisa linachokataza ni kanisa lenyewe kama taasisi kujihusisha na masuala ya kisiasa. Huhawahi kusikia kanisa kujifungamanisha na siasa. Mifano ya madhara ya kanisa kujifangamanisha na siasa yamelikumba kanisa la rc ambapo limejikuta kuhusishwa na mauaji katika vipindi na mahali duniani mfano Rwanda, ulaya, Canada nk.
 

Usimshirikishe Mungu kwenye mambo yakufikirika mkuu
 
Ndio maana dini hazina maana kwenye ulimwengu huu. Sababu zimekuwa kichaka.
Mungu ni mmoja, dini nyingi za nini?
 
Usimshirikishe Mungu kwenye mambo yakufikirika mkuu
Mimi Nimenukuu Neno lake. Labda iwe wewe huamini katika yaliyomo kwenye kitabu kiitwacho Biblia.
Ni kweli mambo yanayozungumziwa ni ya kufikirika i.e. hakuna mtu mwenye ushahidi kamili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…