Kanisa la wasabato ndio pekee linalofata neno Maana halisi ya Mke wa ujana wako. Ndoa zifungwe wote mkiwa wadogo

Kanisa la wasabato ndio pekee linalofata neno Maana halisi ya Mke wa ujana wako. Ndoa zifungwe wote mkiwa wadogo

Tusichape tu wakuu..hii kuoa hamna alieoko tayar...c wa kike Wala kiume
 
Kuna uhusiano gani kati ya mtu kuamua kuoa na kanisa analosali? Kuoa/kuolewa ni utashi binafsi
 
Makanisa mengi ya wakristo leo hasa makubwa kama RC na KKKT mafundisho yao hayafundishi umuhimu wa ndoa kwa vijana wao. Wasabato ndio waliobaki kusisitiza hilo.

Tazama picha za maharusi wao mume na mke wanavyokuwa wadogo

View attachment 2950875

Ndoa kama hii ni rahisi kujenga bond kubwa ya upendo maana mke na mume mnapita phase zote za maisha pamoja toka ujana wenu.

Na mwanamke anakuwa kwenye fertility age muda mrefuuu.

Hata waislamu pia wanafundisha sana na kusisitiza ndoa za mapema kuepuka zinaa
Sijawahi kuona Wasabato wameongea mambo yao bila kujilinganisha na wengine hasa RC. Hivi RC ndiyo benchmark ya utakatifu wenu? Hamuwezi kuongea mambo yenu bila kujilinganisha nao?
 
Makanisa mengi ya wakristo leo hasa makubwa kama RC na KKKT mafundisho yao hayafundishi umuhimu wa ndoa kwa vijana wao. Wasabato ndio waliobaki kusisitiza hilo.

Tazama picha za maharusi wao mume na mke wanavyokuwa wadogo

View attachment 2950875

Ndoa kama hii ni rahisi kujenga bond kubwa ya upendo maana mke na mume mnapita phase zote za maisha pamoja toka ujana wenu.

Na mwanamke anakuwa kwenye fertility age muda mrefuuu.

Hata waislamu pia wanafundisha sana na kusisitiza ndoa za mapema kuepuka zinaa
Hivi wanaruhusu kufuga ndevu!!
 
Ndoa ni msingi wa familia. Na ndoa ni msingi wa Taifa bora.

Ibada za Makanisa ziache kusisitiza Pesa na sadaka tu. Zifundishe na umuhimu wa ndoa mapema kujenga kizazi bora na kuepusha na uzinzi.

Hata waislamu wanajitahidi sana kusisitiza ndoa za mapema
Unaweza kudhibitisha kuwa ndoa ni dawa ya uzinzi?
 
Makanisa mengi ya wakristo leo hasa makubwa kama RC na KKKT mafundisho yao hayafundishi umuhimu wa ndoa kwa vijana wao. Wasabato ndio waliobaki kusisitiza hilo.

Tazama picha za maharusi wao mume na mke wanavyokuwa wadogo

View attachment 2950875

Ndoa kama hii ni rahisi kujenga bond kubwa ya upendo maana mke na mume mnapita phase zote za maisha pamoja toka ujana wenu.

Na mwanamke anakuwa kwenye fertility age muda mrefuuu.

Hata waislamu pia wanafundisha sana na kusisitiza ndoa za mapema kuepuka zinaa
Ungetuletea takwimu ili tujue pia kwa muda wa miaka kumi labda ndoa kadhaa za kisabato na kikatoliki zimedumu ngapi na zimevinjika ngapi
 
Back
Top Bottom