Dadykiller
Senior Member
- Apr 24, 2024
- 198
- 347
Tusichape tu wakuu..hii kuoa hamna alieoko tayar...c wa kike Wala kiume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuona Wasabato wameongea mambo yao bila kujilinganisha na wengine hasa RC. Hivi RC ndiyo benchmark ya utakatifu wenu? Hamuwezi kuongea mambo yenu bila kujilinganisha nao?Makanisa mengi ya wakristo leo hasa makubwa kama RC na KKKT mafundisho yao hayafundishi umuhimu wa ndoa kwa vijana wao. Wasabato ndio waliobaki kusisitiza hilo.
Tazama picha za maharusi wao mume na mke wanavyokuwa wadogo
View attachment 2950875
Ndoa kama hii ni rahisi kujenga bond kubwa ya upendo maana mke na mume mnapita phase zote za maisha pamoja toka ujana wenu.
Na mwanamke anakuwa kwenye fertility age muda mrefuuu.
Hata waislamu pia wanafundisha sana na kusisitiza ndoa za mapema kuepuka zinaa
Nilimuoa mamako akiwa na 25 akakuzaa wewe alipofikisha 26.Wewe
Umeolewa na miaka mingapi?
Hizi mashoga unaoa na kuzaa?Nilimuoa mamako akiwa na 25 akakuzaa wewe alipofikisha 26.
Hivi wanaruhusu kufuga ndevu!!Makanisa mengi ya wakristo leo hasa makubwa kama RC na KKKT mafundisho yao hayafundishi umuhimu wa ndoa kwa vijana wao. Wasabato ndio waliobaki kusisitiza hilo.
Tazama picha za maharusi wao mume na mke wanavyokuwa wadogo
View attachment 2950875
Ndoa kama hii ni rahisi kujenga bond kubwa ya upendo maana mke na mume mnapita phase zote za maisha pamoja toka ujana wenu.
Na mwanamke anakuwa kwenye fertility age muda mrefuuu.
Hata waislamu pia wanafundisha sana na kusisitiza ndoa za mapema kuepuka zinaa
Unaweza kudhibitisha kuwa ndoa ni dawa ya uzinzi?Ndoa ni msingi wa familia. Na ndoa ni msingi wa Taifa bora.
Ibada za Makanisa ziache kusisitiza Pesa na sadaka tu. Zifundishe na umuhimu wa ndoa mapema kujenga kizazi bora na kuepusha na uzinzi.
Hata waislamu wanajitahidi sana kusisitiza ndoa za mapema
Ungetuletea takwimu ili tujue pia kwa muda wa miaka kumi labda ndoa kadhaa za kisabato na kikatoliki zimedumu ngapi na zimevinjika ngapiMakanisa mengi ya wakristo leo hasa makubwa kama RC na KKKT mafundisho yao hayafundishi umuhimu wa ndoa kwa vijana wao. Wasabato ndio waliobaki kusisitiza hilo.
Tazama picha za maharusi wao mume na mke wanavyokuwa wadogo
View attachment 2950875
Ndoa kama hii ni rahisi kujenga bond kubwa ya upendo maana mke na mume mnapita phase zote za maisha pamoja toka ujana wenu.
Na mwanamke anakuwa kwenye fertility age muda mrefuuu.
Hata waislamu pia wanafundisha sana na kusisitiza ndoa za mapema kuepuka zinaa