Kanisani kwetu bwana Mauno kwenye Madhabahu yamezidi, hili tatizo lazima litatuliwe. Wadau tufanyaje?

Chakula cha wachungaji hicho na senior choir singers....
Ukiwa na demu anaimba kwaya au mtu wa mikesha basi umeingia chaka...
 
Ana ng'ang"anaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
😁Sema hilo uno ni kweree asee πŸ˜‹.ngoja amng'ang'anie bwana tuu...πŸ˜‹πŸ˜‚ Namuona mama mchungaji anavyomkatia jicho baba mchungaji...asije akala kondoo wake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‹πŸ™ŒπŸ½πŸšΆπŸšΆ
 
Ale mara ngap?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ We Acha tu Mbinguni wataingia wanawake watu wazima tu
 
Mengine anasingiziwa tu.

Ice Cube alisema sehemu nzuri sana ya kupata wanawake ni kanisani.

Wanaume wanajua hili.

Wanawake wanajua hili.

Ndiyo maana wanajibinua binua kutangaza walichonacho dunia iwaone.

Wakijificha wanaona watakosa mambo.
Huyo Ice Cube ameoa?! Ameoa huko kanisani sasa?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…