Kanisani kwetu bwana Mauno kwenye Madhabahu yamezidi, hili tatizo lazima litatuliwe. Wadau tufanyaje?

Kwani kiuno kina shida gani au ni tafsiri ya wananzengo tu mtu akitikisa kiuno kiana akili inakwenda kwenye ngono japokuwa hata kwenye 6 kwa 6 kwenyewe siku hizi hakuna mauno watu wanalala kama gogo hivyo hakuna mahusiano kati ya mauno na kile tunachowaza kwa kuwa hata huko tunapopawazia watu hawapatendei haki kwa mauno
 
Unaenda kanisani kuomba ili usiingie majaribuni,lakini hatima yake ndo unajikuta unaingia majaribuni oja kwa moja na kondoo alienona.
 
Doh!
yesu akiwatokea munafanya viteweji hivi,anaweza akawacharaza bakora mpaka kieleweke.
Maana mimi hapo namuona Lusifa anapuliza zumari la ukahaba ,na hakuna cha Imani hapo.
 
Aisee
 
Doh!
yesu akiwatokea munafanya viteweji hivi,anaweza akawacharaza bakora mpaka kieleweke.
Maana mimi hapo namuona Lusifa anapuliza zumari la ukahaba ,na hakuna cha Imani hapo.
Woyoooooooo πŸ”₯
 
Uno linaushawishi we chezesha mikono kichwa watu hawastuki ukichezesha uno utaona balaa lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…