Kanizawadia nusu lita ya asali na elfu 50 siku ya birthday yangu. Nimempiga chini kwa kasi ya 5G

Kanizawadia nusu lita ya asali na elfu 50 siku ya birthday yangu. Nimempiga chini kwa kasi ya 5G

Kam unaeza loanisha godoro hvyo bas njoo nikupe ist
IMG-20230110-WA0002.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wapo wenye sura na shepu za kawaida ambao mm nawazidi mara 100 lkn wanapewa mizawadi mikubwa. Huyu mchovu tu
Kuna vitu watakua wamekuzid tu ambavyo havionekani
 
Ungemuuliza kwanza pengine alikupatia dawa, labda kuna tatizo anajua unalo😁
 
Kuna "mchovu" mmoja siku ya birthday yangu kaniletea asali nusu lita na sh elfu 50. Hivi huyu ananionaje kwanza?

Nimevunja rasmi mahusiano kuanzia siku hiyo (nimempiga chini kwa kasi ya 5G).

Mm sipendi ubabaifu. Watu wanazawadiwa magari yeye ananizawadia nusu lita ya asali na sh elfu 50?

Kuwa na mahusiano na akina "michongo yangu haijatiki" au akina "mshahara haujatoka" ni uchuro, laana na mkosi mkubwa.
Unaaonekana ni mkaidi sana,na mtu mwenye tabia za kimasiki sana,maana wenye navyo huwa hawana tamaa kama wewe,jamaa ametoa zawadi unique we kwa njaa zako unambeza?
 
walaumu wazazi wako kwanini hawakukununulia gari hadi ulitake kutoka kwa jamaa wa ukubwani
 
Back
Top Bottom