Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

Yaani mwanaume unakaa unaandika unajisifu u marioooo hata aibu huna? Mjinga sana mwanamke siyo lazima akuombe hela mwehu wewe. Kama mwanaume jukumu mojawapo ni kujua mahitaji ya mwanamke na kuyatimiza kabla hujasaidiwa
Mario wa hovyo kabisa.
 
Maisha ni zaidi ya tendo na sura; chukulia mfano, umepata ajali na ukashindwa kutembea, ni nani atakuwa tayari kukusafisha kama mtoto mdogo pale kitandani?
huyu mwanamke anaweza kufanya yote haya bila tabu
 
Kwa hiyo trump mpaka kufikia mke wa tatu, kulikuwa na changamoto ya kifedha?
 
Yaani mwanaume unakaa unaandika unajisifu u marioooo hata aibu huna? Mjinga sana mwanamke siyo lazima akuombe hela mwehu wewe. Kama mwanaume jukumu mojawapo ni kujua mahitaji ya mwanamke na kuyatimiza kabla hujasaidiwa
Mario wa hovyo kabisa.
nadhan hujaelewa vzuri thread yangu
 
Jaman smu yangu inaisha chaji na hapa mtaani umeme umekata mkiona kmya msishangae
 
Kwa hiyo trump mpaka kufikia mke wa tatu, kulikuwa na changamoto ya kifedha?

Elewa mada. Hakusema it was THE ONLY thing.

Ila alisema nyingi zinavunjika kwa sababu hiyo.

Hujaelewa wapi pengine nikuelekeze?
 
Elewa mada. Hakusema it was THE ONLY thing.

Ila alisema nyingi zinavunjika kwa sababu hiyo.

Hujaelewa wapi pengine nikuelekeze?
Ilikuwa ni mtazamo wake, bado kuthibitika kisayansi
 
Kaangalie stats za what causes most divorces in the US alagu rudi hapa
Sababu ya kwanza ni wanawake kuwa na tamaa ya pesa na kutaka mgao wao, wanatumia mahusiano kama sehemu ya kupata mtaji; rejea kwa matajiri ambao ndoa zao zimevunjika.​
 
Umemaliza mkuu...Napigia na lamination Hapo kwenye Sura ,usimpende Mtu sababu ya kitu kimoja Tu maana kile kitu kikiondoka utateseka mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…