Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

Sema utapoteza Dodo na utalia sana. Unaweza kuoa dada mzuri na ukazaa watoto wabaya.

Halafu unajua kabisa huyo dada anabangaiza unakula tu na huachi hata mia sio vizuri hivo.

Hangaika utapata unachokitaka.
😂😂😂😂😂mbona unanipopoa badala ya kunishauri?
 
Nilichokielewa n kwamba ww una wasiwasi na Uzuri wake tofauti na umri
 
Miaka 6 au miez sita?? Kwenye mahusiano looh shame on u upo nae miaka ya shetan halafu hutak kumuoa khaaa
not every relationship should end with marriage. huoni mtu kasomea uhasibu lakn leo ni DJ
 
Mwanamke ni chombo cha starehe zalisha tupa kule... Kataa ndoa ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani umasikini
sjaelewa, unapinga ndoa au unasapoti ndoa?
 
the difference in age (one year) is not statistically significant (p > 0.05), ruksa ku-endelea na mchakato wa kuoa
what about other factors mentioned above?
 
Miaka 18 Cha ajabu wewe mwenzetu una 29 au unafurahisha genge tu?
kwa mantiki yako n kwamba ukifika huo umri, automatically mishe zinatiki yaan biashara znakubali, unapata ajira nzuri n. k kwa sababu tu ya umri?
 
Back
Top Bottom