Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

sawa kaka ila dahhh
 
huyu hakosi ibada na ni nkienda kwake nakuta kitandan vimesambaa vitabu vya dini alokua anavisoma. hanaga muda na smu, anaweza asiingie online hata week nzma
 
Wewe jamaa Comedy tu, huna lolote 😄🤣
 
whats wrong with that?? mm sio nliemsababishia hayo yote
Kama unaona mwanamke ambaye hakuombi hata mia yupo kwenye shida kiasi anakula ugari wewe buku ya dagaa inakushindwa basi hustahili kuingia kwenye ndoa tena una roho mbaya na binafsi mno 😡😡😡
 
Kwani mzabzab na wewe upo kwenye kundi la waoaji?
 
Ko umemchezea mdada wa watu miaka 6, leo Kumuoa eti unaona bado.

Wee ni Tapeli wa mapenzi, mxiiiiew
 
Haya yote uliyoyaandika,sisi hayatuhusu
 
Usije ukamuoa mwanamke kwasababu unamuhurumia....
Usije ukamuoa mwanamke kwasababu watu wamekushauri....
Usije ukaoa mwanamke kwasababu ana wezere.....
Mbona wewoo....😜
📌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…