Kanizingua, Nimemzingua, Tumezinguana. Nimestuka Staki ujinga

kulikua na haja gan ya kujieleza unalipa deni la wazazu wako? hata mm nibgekujibu hivohivo " mwanaume ambae hana kitu mimi wa nn sasa" hehehe wanaume poleni mnapitia mazito
Tumedumu miaka 2 mpaka sasa so anajua ninachopitia ni ufala wake kichwani tu.. sasa ndio kashajifukuzisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…