Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Chama yupo kwenye daraja la pekee yake, ni dhambi kumfananisha na Aziz Ki.
Sasa nimeona ni bora tumlinganishe na Mzee wa ICC Kanoute, bila kujali maeneo yao wanayocheza, tuangalie mchango wao kwenye timu zao.
Piga kura yako hapa, andika jina la mchezaji unayeona ni bora zaidi ya mwenzake. Hatutaki maneno mengi
Sasa nimeona ni bora tumlinganishe na Mzee wa ICC Kanoute, bila kujali maeneo yao wanayocheza, tuangalie mchango wao kwenye timu zao.
Piga kura yako hapa, andika jina la mchezaji unayeona ni bora zaidi ya mwenzake. Hatutaki maneno mengi