OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Huyo kutema mate kote, Putin si anampa mimba mapacha kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods pigeni hii simbilisi inatukanaKuna kundu la watu wanaojiita mashabiki wa Simba wana matatizo ya akili sana. Mama ana kazi kubwa kudeal na watu wa aina hii
We Kolo wizard unaelewa maana ya typing error?
Huna akili kama timu yenuMtego wa nani ID zako zote hizi una akili kama za popoma
Ni kweli huwezi kumlinganisha Aziz Ki na MLEVIChama yupo kwenye daraja la pekee yake, ni dhambi kumfananisha na Aziz Ki...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aziz Ki anacheza mpira wa mitaani. Magoli yake ya kugongesha mpira kwenye jiwe makipa wapoteane [emoji1787][emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo aziz ki wa kucheza dkk 9 ndo afanane na Putin? Had Nabi alimdharau Ufunguo ile juzi.Hivi pata wapi nguvu ya kumfananisha Aziz na ile skeleton inayojazwa upepo na wajinga kadhaa kwa kuitwa Putin. Achen utani bhana na chakushangaza haya yanakuja baada ya game na Horoya ambao mliwaokota tu kama dondokela la kuokota embe kwenye mlimao.
Sasa subirini robo mtakavyoenda kutia aibu taifa kama ilivyo kawaida yenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena atakula udongoo tyuuh.Huyo kutema mate kote, Putin si anampa mimba mapacha kabisa
Chama yupo kwenye daraja la pekee yake, ni dhambi kumfananisha na Aziz Ki.
Sasa nimeona ni bora tumlinganishe na Mzee wa ICC Kanoute, bila kujali maeneo yao wanayocheza, tuangalie mchango wao kwenye timu zao.
Piga kura yako hapa, andika jina la mchezaji unayeona ni bora zaidi ya mwenzake. Hatutaki maneno mengi
Ni kweli sina akili ila acha ujinga wa ku log in ID buku ili ku support ujinga wakoHuna akili kama timu yenu
Kwani hizo pesa ni za mmeo mbona unaumiaPoleni wanayanga yaani pale mmepigwa
Huu ni ukweli hamtakaa mkubali
Au tuseme mfumo wenu hau fit jamaa ku perfom inavyotakiwa
Kama tuliwaokota horoya mbona nyie mlifukuzwa huku champions league na mazembe wako mkaenda kwenye mashindano ya vibonde we vipi fikiria kwa kutumia kichwa na sio mwikoHivi pata wapi nguvu ya kumfananisha Aziz na ile skeleton inayojazwa upepo na wajinga kadhaa kwa kuitwa Putin. Achen utani bhana na chakushangaza haya yanakuja baada ya game na Horoya ambao mliwaokota tu kama dondokela la kuokota embe kwenye mlimao.
Sasa subirini robo mtakavyoenda kutia aibu taifa kama ilivyo kawaida yenu
thibitisha sio unabweka bweka tuNi kweli sina akili ila acha ujinga wa ku log in ID buku ili ku support ujinga wako
Tactical mind game hiyo tatizo wewe ni kolo huwezi kuelewa haya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo aziz ki wa kucheza dkk 9 ndo afanane na Putin? Had Nabi alimdharau Ufunguo ile juzi.
Woiiiiiiiih
Wewe na Genta akili moja Bruno Guimares na Greatest Of All Time ni mtu yule yulethibitisha sio unabweka bweka tu
Thibitisha acha kufanya name calling UtopwinyoWewe na Genta akili moja Bruno Guimares na Greatest Of All Time ni mtu yule yule
Umenikumbusha mbali sana,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ufunguoooooooo!!!!! Ila watuuu. Khaaaaah