Kanoute na Aziz Ki nani zaidi?

Kanoute na Aziz Ki nani zaidi?

Mimi ni Shabiki wa Simba damdam lakini ifike wakati mashabiki wa Simba tuache ushabiki maandazi na uzwazwa, Kweli leo umfananishe mchezaji anayelipwa zaidi kuliko wachezaji wote Tz na Afrika mashariki na kati na huyu mzembe Kanoute anayekosa magoli kizembe? Ifike wakati ushabiki usitufanye wajinga Aziz Ki ni level nyingine hauwezi kabisa kumlinganisha na huyu kinda wala mchezaji yeyote ndani ya Simba.
 
Mimi ni Shabiki wa Simba damdam lakini ifike wakati mashabiki wa Simba tuache ushabiki maandazi na uzwazwa, Kweli leo umfananishe mchezaji anayelipwa zaidi kuliko wachezaji wote Tz na Afrika mashariki na kati na huyu mzembe Kanoute anayekosa magoli kizembe? Ifike wakati ushabiki usitufanye wajinga Aziz Ki ni level nyingine hauwezi kabisa kumlinganisha na huyu kinda wala mchezaji yeyote ndani ya Simba.
Maneno kidogo majibu tunataka
 
Kanoute siyo wa level hiyo..muone huku
5c3f8fe84d794a9c869adbf447b4ae83_336578062_129856996548603_7353580363190724626_n.jpg
IMG_20230321_200558.jpg
 
Back
Top Bottom