Kanoute na Aziz Ki nani zaidi?

Kanoute na Aziz Ki nani zaidi?

Kwamba nyie mnajua kuliko prof Nabi au,, Nabi mwenyewe siku hizi anampa dk 3 au 5 za kucheza,, Acha kumfananisha Putin na vitu vya hovyo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna kundu la watu wanaojiita mashabiki wa Simba wana matatizo ya akili sana. Mama ana kazi kubwa kudeal na watu wa aina hii
Jibu linatakiwa liwe "aziz ki" au "Putin"
Sasa wee maelezo haya yote yanatoka wapiii???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aziz key kuitwa timu yake ya taifa ni kupe delewa tu mbona kiwango chake kina fanana na Adam Andambwile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pia Nabi alionekana akisonya wakati anamuingiza zile dakika 3 za mwisho [emoji1787][emoji23][emoji28]
Hata mie niliona, tena wakati Aziz ki anakunywa maji, Nabi alimkata jicho la dharau, nlichekaa had baas.

Match muhimu Aziz Ki anacheza Dkk 9, si uchurooo huu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ngoja nisaidie Kuhesabu Kura hapa Maana mtanange huu si mchezo..!

Mpaka Muda huu tukielekea Mitamboni..

Putin 22 - 2 Aziz Ki

Yanga Mko Wapi..? Pigeni kura,Msimpotezee kijana
 
Chama yupo kwenye daraja la pekee yake, ni dhambi kumfananisha na Aziz Ki.

Sasa nimeona ni bora tumlinganishe na Mzee wa ICC Kanoute, bila kujali maeneo yao wanayocheza, tuangalie mchango wao kwenye timu zao.

Piga kura yako hapa, andika jina la mchezaji unayeona ni bora zaidi ya mwenzake. Hatutaki maneno mengi
Azizi K waliwafanya nini? kwani amseajiliwa kuja kupambana na Chama? Yanga ni team yoyote anapewa nafasi ana cheza nyie endeleeni kumuabudu mungu wenu
 
Chezaji la milioni 350 mlatreat hivi kweli? Wapi injinia hersi na biashara yako kichaaa 🤣🤣🤣
 
Hii nani zaidi ni meaningless aisee.

Ishu ni nani ana msaada mkubwa na muhimu kwa Timu yake.

Akamiko anaweza akawa zaidi ya Muzzamiru kibinafsi, Lakini Muzzamiru anakuwa Muhimu zaidi kuliko Akamiko .

Kuna Form na Class , tutofautishe hivi vitu.
 
Azizi K waliwafanya nini? kwani amseajiliwa kuja kupambana na Chama? Yanga ni team yoyote anapewa nafasi ana cheza nyie endeleeni kumuabudu mungu wenu
Hadi wee leo ume comment kinyongee bas imewafikaaa penyewe.

Sasa usilie nawee, jikazeeeee kunywa maji mengi afu pumzika.

Yakizidi muonee daktariiii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chezaji la milioni 350 mlatreat hivi kweli? Wapi injinia hersi na biashara yako kichaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ufunguoooooooo!!!!! Ila watuuu. Khaaaaah
 
Mwisho wa msimu tutakutana hapa kujua nani ana kipi
Mkuu umeingia kwwnye mtego wa mtoa mada.

Ukitumia kigezo cha mataji, Anderson alivyokuwa Man Utd ana mataji mengi ya EPL kuliko Steven Gerrard ambaye hakuwahi kutwaa taji hilo. Nani bora hapo? Bora ni Gerrard japo hana taji.

Hivyo usitumie kigezo hiko
 
Jibu linatakiwa liwe "aziz ki" au "Putin"
Sasa wee maelezo haya yote yanatoka wapiii???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi una pata wapi nguvu ya kumfananisha Aziz na ile skeleton inayojazwa upepo na wajinga kadhaa kwa kuitwa Putin. Achen utani bhana na chakushangaza haya yanakuja baada ya game na Horoya ambao mliwaokota tu kama dondokela la kuokota embe kwenye mlimao.

Sasa subirini robo mtakavyoenda kutia aibu taifa kama ilivyo kawaida yenu
 
Chama yupo kwenye daraja la pekee yake, ni dhambi kumfananisha na Aziz Ki.

Sasa nimeona ni bora tumlinganishe na Mzee wa ICC Kanoute, bila kujali maeneo yao wanayocheza, tuangalie mchango wao kwenye timu zao.

Piga kura yako hapa, andika jina la mchezaji unayeona ni bora zaidi ya mwenzake. Hatutaki maneno mengi
Usifananishe Sadio Kanoute na waonesha mapaja.
 
Back
Top Bottom