Kante Amtafute Hakimi, Emmanuel Eboue awe Case Study

Kante Amtafute Hakimi, Emmanuel Eboue awe Case Study

Cassie kaondoka kalipwa kiasi gani na PDiddy.

Bill Gates, Elon Musk, Jeff Bezos wamelipa kiasi gani kwenye talaka zao.

Au hao athletes weusi walioowa weusi wenzao unataka kusema ndoa zao zote poa. Michael Jordan kamlipa kiasi gani mkewe. Carmelo Anthony anampa Lala kiasi gani kwenye upkeep ya mtoto.

Unadhani hao watu awajui kama wanawindwa na gold diggers wa race zote na hawajui kujilinda.

Shit happens in life akili kukichwa, acheni kujifanya mnajua sana kulinda assets za watu kushinda wao wenyewe ambao wana case studies za wenzao.
Mbona hili jambo unalitetea sana hivi unaamini mfano mie huku sengerema kwa uzi huu nina nia ya kulinda mali za kante?!
 
Ndugu sababu za maamuzi ya watu ni nyingi.

Watu wanapitia mengi right or wrong ni kutokana na experience zao. Wote atutoki kwenye familia na malezi yaliyofanana kwa hivyo hata maamuzi yetu hayawezi fanana.

Saa zingine tunafanya maamuzi ambayo tupo tayari kuishi na athari zake. Mfano mtu kama Pogba aongei na ndugu zake kisa hela; Kaka yake wa kuzaliwa ndio alietaka kumzulumu.

Tusiingilie maisha ya watu kujifanya tunawajua kushinda wao wenyewe. Mfano mimi nikitengeneza (lengo ambalo lazima nilifikie) nikifa hiyo hela bora uipate wewe kuliko ndugu yangu wa tumbo moja.

Siwezi weka ndugu yangu hata mmoja kwenye mirathi yangu miaka 800 sasa itoke wachakachuwe nitafufuka huko nilipo na watanikoma nitamwendea kama mzimu mpaka atapike.

Ndugu hujui maamuzi ya watu, teheshimu. Acheni hizi tabia za kufanya mnawajua watu na maamuzi yao kuliko wenyewe wanavyojijua.

Yaani Kante afanye maamuzi ambayo hayaelewi mpaka leo. Ni kwamba anajua risk alizochukua na yupo tayari kuishi na madhara yake ya mbeleni mambo yakienda ndivyo sivyo.

Tuache kudhani tunawajua watu na maamuzi yao kushinda wao wanavyojijua.
Nakupa mfano Jeff Benzos wa Amazon talaka na mkewe imemtoka USD 40bil, hivi huyu Jeff's akioa tena na kuachika hata mara mbili unazani tabakiwa na kiasi gani na hapo bado Allomony na Child Support. Ndio maana hawa matajiri hawataki kuoa,sababu wanajua wanawake wengi wapo after utajiri wao, so kwa sasa ni mwendo wa kuspend na vimada, akimchoka anatafuta mwengine.

Hatuingilii maamuzi ya mtu bali tunaangalia trend ya wanaume matajiri na talaka,life lao baada ya talaka. Kweli Kante anamaamuzi yake,ila yakimkuta nae anaingia kundi lile lile tuu.Mfano tu 50 cents alimuonya Tyrese kipindi anaingia kwenye ndoa kuhusiana na huyo mwanamke, inamaana 50 alikuwa anampangia Tyrese jinsi ya kuishi. Leo Tyrese kaachana na mkewe,talaka imemkamua anamkumbuka 50,sometimes kwenye intvw mpaka anatoa machozi.Dr Dree washkaji zake nae walimshauri juu ya mke aliye muoa,inamaana washkaji zake Dr Dre walikuwa wanampangia maisha, leo baada ya kukamuliwa kwenye talaka anawakumbuka wana japo kimoyomoyo. Unaweza ukakuta behind the scene wachezaji wenzake wa France waliyo pitia maumivu ya talaka Henry na Saha ,washamwambia ila sisi hatujui, maana Saha nae anapitia maumivu makali sana baada ya talaka.
Screenshot_20240831_152142_Instagram.jpg

Mwenzake Dembele alivyotaka kuoa,kaona Western hawa mind zao zishachakachuliwa kaenda kuoa Morocco, binti mbichi wa Kiarab Hijabu mpaka kwenye unyayo,kawaacha mabinti wakifaransa.

Kwa mbele wanaume ambao wapo salama ni wale walio anza na wenza wao tokea wakiwa hawana kitu mfano LeBron,Messi,Etoo,Snoop Dogg nk.Hawa ni ngumu sana kuja kuachana sababu walianza wakiwa hawana kitu. Ila hawa wanaokuja baada ya kuwa na hela wengi wao wapo after money.

Hivi unajua US kwa utafiti uliyo fanyika asilimia 70+ ya talaka zinakuwa initiated au hufunguliwa na wanawake, hushajiuliza ni kwa nini?
 
Nakupa mfano Jeff Benzos wa Amazon talaka na mkewe imemtoka USD 40bil, hivi huyu Jeff's akioa tena na kuachika hata mara mbili unazani tabakiwa na kiasi gani na hapo bado Allomony na Child Support. Ndio maana hawa matajiri hawataki kuoa,sababu wanajua wanawake wengi wapo after utajiri wao, so kwa sasa ni mwendo wa kuspend na vimada, akimchoka anatafuta mwengine.

Hatuingilii maamuzi ya mtu bali tunaangalia trend ya wanaume matajiri na talaka,life lao baada ya talaka. Kweli Kante anamaamuzi yake,ila yakimkuta nae anaingia kundi lile lile tuu.Mfano tu 50 cents alimuonya Tyrese kipindi anaingia kwenye ndoa kuhusiana na huyo mwanamke, inamaana 50 alikuwa anampangia Tyrese jinsi ya kuishi. Leo Tyrese kaachana na mkewe,talaka imemkamua anamkumbuka 50,sometimes kwenye intvw mpaka anatoa machozi.Dr Dree washkaji zake nae walimshauri juu ya mke aliye muoa,inamaana washkaji zake Dr Dre walikuwa wanampangia maisha, leo baada ya kukamuliwa kwenye talaka anawakumbuka wana japo kimoyomoyo. Unaweza ukakuta behind the scene wachezaji wenzake wa France waliyo pitia maumivu ya talaka Henry na Saha ,washamwambia ila sisi hatujui, maana Saha nae anapitia maumivu makali sana baada ya talaka.
View attachment 3089995

Kwa mbele wanaume ambao wapo salama ni wale walio anza na wenza wao tokea wakiwa hawana kitu mfano LeBron,Messi,Etoo,Snoop Dogg nk.Hawa ni ngumu sana kuja kuachana sababu walianza wakiwa hawana kitu. Ila hawa wanaokuja baada ya kuwa na hela wengi wao wapo after money.

Hivi unajua US kwa utafiti uliyo fanyika asilimia 70+ ya talaka zinakuwa initiated au hufunguliwa na wanawake, hushajiuliza ni kwa nini?
Ndugu kwenye maisha yako uwezi maliza matumizi $1 billioni. Kwa utajiri wa kina Bezos, Gates and the likes kutumia +$2 billion kwa wao wenyewe haiwezekani given time limit ya binadamu lakinj wana personal wealth za mabillioni ya kutisha.

Sasa wao kugawana hizo hela na wenza wao wa kutoka mchangani isikushangaze. Hizo ni personal wealth bado wana share value za assets zao hao watu awakuzaliwa kujua shida inafafanaje.

Ni kama Abromovich tu alipoamua kujinyakulia dodo na kuachana na saggy tits za mkewe alietoka nae mchangani. Alimchoka tu Iła kamuacha afi njaa maisha yake yote.

Sasa tunapokuja huku kwenye tia maji tia maji kama hakina Kante, Europę Ina wachezaji mamia weusi, wana case studies za ndoa za kuibiwa, risks za kusingiziwa rape, club wanazoenda hawa na kuwaokota hao watoto wazuri wengi wanaenda wavizia wao wanajua.

Hata maamuzi yao kwa waliozaliwa Europę wanajua risk zake na wapo tayari kuishi nazo. Kante Kazaliwa Europe sio kama Eboue hata yeye alitakiwa kuelewa somo.

Unajua club za ulaya zina mentors kwa wachezaji kuhusu risk na tamaa za mishahara yao kwa wengine. Sasa uwezi kumuokoa kila mtu, lakini mwisho wa siku maisha na maamuzi ya mtu mwingine sio biashara yako.
 
Ndugu kwenye maisha yako uwezi maliza matumizi $1 billioni. Kwa utajiri wa kina Bezos, Gates and the likes kutumia +$2 billion kwa wao wenyewe haiwezekani given time limit ya binadamu lakinj wana personal wealth za mabillioni ya kutisha.

Sasa wao kugawana hizo hela na wenza wao wa kutoka mchangani isikushangaze. Hizo ni personal wealth bado wana share value za assets zao hao watu awakuzaliwa kujua shida inafafanaje.

Ni kama Abromovich tu alipoamua kujinyakulia dodo na kuachana na saggy tits za mkewe alietoka nae mchangani. Alimchoka tu Iła kamuacha afi njaa maisha yake yote.

Sasa tunapokuja huku kwenye tia maji tia maji kama hakina Kante, Europę Ina wachezaji mamia weusi, wana case studies za ndoa za kuibiwa, risks za kusingiziwa rape, club wanazoenda hawa na kuwaokota hao watoto wazuri wengi wanaenda wavizia wao wanajua.

Hata maamuzi yao kwa waliozaliwa Europę wanajua risk zake na wapo tayari kuishi nazo. Kante Kazaliwa Europe sio kama Eboue hata yeye alitakiwa kuelewa somo.

Unajua club za ulaya zina mentors kwa wachezaji kuhusu risk na tamaa za mishahara yao kwa wengine. Sasa uwezi kumuokoa kila mtu, lakini mwisho wa siku maisha na maamuzi ya mtu mwingine sio biashara yako.
Nimekuuliza talaka ya kwanza ya Jeff USD 40bil,zimeondoka, hivi akioa na kuachika mara mbili atakuwa kapoteza kiasi gani? Hushare na nani wakati ushagawa, unashare vipi, hapo ukiachika mara tatu unafikiri anabaki na kiasi.Hivi unawajua wanawake walivyokuwa wabinafsi kwenye hela zao? Ndio maana wakina Jeff,Ellon,Gates hawawezi kuongea kuhusiana na talaka zilivyo wa kamua,ila lifestyle yao ya sasa inaonyesha kabisa hawataki kusikia kitu kinachoitwa ndoa.

Kwa hiyo wakina 50 na washakaji zake Dre vimbelembele? Sijui kwenye crew lako mnaishi vip.Ila nijuavyo hamna watu tunao ambiane ukweli kama wanaume na ndio maana huwaga tunatoboa. 50 na na washkaji zake Dre walitimiza wajibu wao na ni kitu kizuri. Hata Kante behind the scene kuna wenzake tayari washamchana.Basi kama ni hivyo Club zisinge wamentors hao wachezaji sababu sio biashara yao, wao kazi yao kulipa mishahara, ila mataumizi haya wahusu sababu sio biashara yao.
 
Nimekuuliza talaka ya kwanza ya Jeff USD 40bil,zimeondoka, hivi akioa na kuachika mara mbili atakuwa kapoteza kiasi gani? Hushare na nani wakati ushagawa, unashare vipi, hapo ukiachika mara tatu unafikiri anabaki na kiasi.Hivi unawajua wanawake walivyokuwa wabinafsi kwenye hela zao? Ndio maana wakina Jeff,Ellon,Gates hawawezi kuongea kuhusiana na talaka zilivyo wa kamua,ila lifestyle yao ya sasa inaonyesha kabisa hawataki kusikia kitu kinachoitwa ndoa.

Kwa hiyo wakina 50 na washakaji zake Dre vimbelembele? Sijui kwenye crew lako mnaishi vip.Ila nijuavyo hamna watu tunao ambiane ukweli kama wanaume na ndio maana huwaga tunatoboa. 50 na na washkaji zake Dre walitimiza wajibu wao na ni kitu kizuri. Hata Kante behind the scene kuna wenzake tayari washamchana.Basi kama ni hivyo Club zisinge wamentors hao wachezaji sababu sio biashara yao, wao kazi yao kulipa mishahara, ila mataumizi haya wahusu sababu sio biashara yao.
Ndugu Bezos ana personal wealth ya karibu $200 hiyo ni hela iliyopo bank baadsa ya talaka ni yake.

Amazon ina market value ya $1.8 trillion ana shares ya kama 9%—10%, ana mshahara kila mwaka na anapokea divided kila mwaka.

Huyo alikuwa mke wa kwanza katoka nae mchangani ndio maana kamlipa hela nyingi. Sasa unadhani huko mbele hana wanasheria wa kutaka aandike prenuptial agreement akioa gold digger.

Umekazana na mambo ya kitoto kuongelea billionaires ambao wanajitambua; hao wote divorce zao za kwanza wamewapa wake zao hela nyingi kwa sababu waliwachoka Iła wametoka nao mchangani.

Sasa kuna condition tofauti kwenye divorce settlement ya mtu ulietoka nae mchangani huku mkiwq amna prenuptial agreement. Na hawa vimada wanao waokota leo, you think those billionaires are stupid

Embu jadili vitu vya kubishana sio watu wanaojitambua kwenye maamuzi yao kama hakina Bezos.
 
View attachment 3089817
KANTE AMTAFUTE HAKIMI. EMMANUEL EBOUE AWE CASE STUDY.

Ngolo Kante, nyota wa zamani wa Chelsea na mshindi wa kombe la dunia akiwa na timu ya taifa ya Ufaransa amemuoa mwana mama raia wa Uingereza anayeitwa Jude Littler (pichani). Jude ni mfabiashara na mtangazaji wa television ya ITV Wales and S4C.

Jude Littler alikuwa ni mke wa zamani wa Djibrin Cisse, mchezaji wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya Ufaransa. Cisse na Littler alioana mwaka 2005, ilipofika mwaka 2012; Cisse na Littler walitalakiana na Littler alichukua sehemu kubwa ya utajiri wake.

Miaka miwili baadae 2014, Ngolo Kante alikutana na Jude Littler kwenye klabu ya usiku na walioana miezi michache baadae. Jude Littler ana umri wa miaka 48 huku Ngolo Kante akiwa na umri wa miaka 33, Jude anamzidi umri kwa miaka 15.

Cha kufurahisha zaidi ni kwamba wakati Kante anamuoa Jude alimkuta na watoto 3 kwa mumewe wa zamani Djibrin Cisse ambaye Ngolo Kante sasa anawalea kama watoto wake. Kante na mke wake Jude hawana mtoto wa kumzaa.

*****
Huu ni mtego wa kiungo wa boli, Ngolo Kante. Huu mtego aliusanukia Hakimi ila ulimnasa Emmanuel Eboue na akaachwa bila kitu. Mwamba anakaba sana uwanjani ila huku amekabwa aiseee! 😂
Source @mdemupolycarp X
MKUUUUU KANTE NA HAKIM V2 VIWILI TOFAUTI

HUYU.MWANAMKR ALIVYOMRUDIA ALIKUJA NA A2

MALI ZA MH ZOTE ZINA MAJINA YAO WAWILI NIMESOMA NEWS MOJA...

KITU ANAVHOWEZA KAMA HAJAKIFANYA N KUOKOA HELA ANAZOPATA TU AKAZIWEKE ACC YA BABAKE

NAJUA KAMA WAMEWEZA KUANDIKA DOCS ZA MALIZAO PAMOJA BASI HUYU MSHENZI HATA ACC YAWEZEKANA ZINA MAJINA YA PAMOJAAAAA

MWACHENI APAMBANE NA HALIZAO
 
MKUUUUU KANTE NA HAKIM V2 VIWILI TOFAUTI

HUYU.MWANAMKR ALIVYOMRUDIA ALIKUJA NA A2

MALI ZA MH ZOTE ZINA MAJINA YAO WAWILI NIMESOMA NEWS MOJA...

KITU ANAVHOWEZA KAMA HAJAKIFANYA N KUOKOA HELA ANAZOPATA TU AKAZIWEKE ACC YA BABAKE

NAJUA KAMA WAMEWEZA KUANDIKA DOCS ZA MALIZAO PAMOJA BASI HUYU MSHENZI HATA ACC YAWEZEKANA ZINA MAJINA YA PAMOJAAAAA

MWACHENI APAMBANE NA HALIZAO
Ngoja tuone
 
Yule akatambike tu mwanamke asiingiee mahakaman ataisha...

Nakumbuka sana mkewangu wa kwanza wa ndoa nilioana nae baada ya mwezi watatu anasema malizangu zote noweke jina lake else haina maana ya kuwa wanandoa

Aisee. Nkamwogopa soon nkaanza ubaya ubwela. Nkamwambia kuuza gari nkapeleka kwa kaka....

Ooh kiwanja cha mbweni na kmr na tegeta je yaan sikuwahi mwambia n kama kuna ndugu alikuwa nae beneath anajiachia

Nkamwambia vile vya mama ajafa

Asiende kwa mama ati aandike mgao wangu anataka tuwekeze nyumba za kupanga

Hiyo dada n tajiri wameachiwa zaidi ya mil 900 yeye na kaka yake enzi izo hakuwahi kutosheka

Nkamwambia. Sasa na zile nyumba zenu pale sinza na zile za masaki zote tufanye mgao mapema mwite kaka

Oooh hizii wazazi walisema tusigawane kitakachopatikana tugawane

Mama akamwambia sasa vyenu hamtaki kugawana mm mzazi naanzaje ..akaondoka toka hapo mwezi unaofwata nkakimbia mwenyewe. Kwa niliokuwa nakutana nayoo nkahisi hata mboga nawekewa mikojo woii
 
Wakati mwingine maamuzi magumu yana msaada sana watu tu yunangangana ooh ntaonekana hivi ntaonekana vile m miezi 3 mingi xxhap mbio nkaacha kilakitu nkaanza a n mavn n
 
Ndugu Bezos ana personal wealth ya karibu $200 hiyo ni hela iliyopo bank baadsa ya talaka ni yake.

Amazon ina market value ya $1.8 trillion ana shares ya kama 9%—10%, ana mshahara kila mwaka na anapokea divided kila mwaka.

Huyo alikuwa mke wa kwanza katoka nae mchangani ndio maana kamlipa hela nyingi. Sasa unadhani huko mbele hana wanasheria wa kutaka aandike prenuptial agreement akioa gold digger.

Umekazana na mambo ya kitoto kuongelea billionaires ambao wanajitambua; hao wote divorce zao za kwanza wamewapa wake zao hela nyingi kwa sababu waliwachoka Iła wametoka nao mchangani.

Sasa kuna condition tofauti kwenye divorce settlement ya mtu ulietoka nae mchangani huku mkiwq amna prenuptial agreement. Na hawa vimada wanao waokota leo, you think those billionaires are stupid

Embu jadili vitu vya kubishana sio watu wanaojitambua kwenye maamuzi yao kama hakina Bezos.
Kuna swali nimekuuliza paragraph la kwanza ,je akioa akiachika hata mara mbili itaendelea kubaki USD 200bil?
Uzuri huu uzi sio wa kibiashara, issue hapa ya mleta maada,ndoa za matajiri na talaka.

Najua Jeff anaakili kubwa ,yule ni mfanyabiashara na fahamu sifa ya mfanyabiashara mkubwa ni kuheshimu fedha hata dola 1 kwake inathamani. Ndio maana kwenye kampuni zao hawana masihala na uzembe wowote.
 
Izo story zinazosambaa kuhusu ngolo kante naona ni uzushi tu kama uzushi mwingine tu tangu watanzania waanze kusambaza izi taarifa akuna ata mmoja alietuonesha picha za ngolo kante akiwa. Na uyo mwanamke wala akiwa anamuoa
 
Back
Top Bottom