SI KWELI Kanu ni Mnyama anayenukia harufu ya ubwabwa porini/vichakani

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Nashangaa kwanin kuna baadhi ya watu wanamlalamikia bwana wa stendi kuhusu kumkill huyu faken
I think wengi wenu hamjawahi kufuga hasa kwa malengo.
Huu n mwez wa kumi, bado mvua chache tu sikukuu zifike, ukute tayari ushaandaa kuku wako uwauze ujazie ada watoto waende shule alafu huyu ubwabwa awale? Inauma sana.
Mimi kuna mbwa alikua amezoea kula mayai ya kuku wangu, siku moja nkamtaitisha kwenye 18, aisee alipokea kichapo heavy alikua analia zaidi ya ambulance. Sidhan kama atarudia tena.
Eti uite askari wa TANAPA, aje afanye nini?
 
Binadamu tuna kaukatili fulani, ilikua kwenye harakati zake za kutafuta riziki ili aweze kuendelea kuishi kwenye ardhi hii ya dunia kama vile tulivyo sisi ama hao kuku, ila ndio hivyo tena kakutana na binadsmuy mwenye ubinasfi .
Mkuu umeongea sahihi kabisa japo wanasema muindaji nae,huwindwa.
 
duuu Mungu Fundi.... harufu ya ushuzi inanukia ubwabwa!!!
Siku zote nilikuwa najua ni chatu... kumbe sio
Wengi tuliaminishwa hivyo tukiwa wadogo. Na tulikuwa tunakula relay ya kutosha tusikiapo hiyo harufu.
 
Kuna watoto wa mama huku wamezoea kukaaa kwa shemej hawajui ata ufugaji ulivo na gharama mkuu tena umemuua kistarabu sana ingetakiwa umcharange mapanga
 
Aisee....
 
Kuna watoto wa mama huku wamezoea kukaaa kwa shemej hawajui ata ufugaji ulivo na gharama mkuu tena umemuua kistarabu sana ingetakiwa umcharange mapanga
Akitoka akiwa hai kwenye mtego hapo utamkimbia nakuambia
 
Mkuu Kuna yule anaweza enda kwenye shimo akaingia mwili mzima akaacha mkunduh nje, huo mkunduh wake umejaa mavi mavi na mafunza yaliyoozeana... Ndege, kuku au mnyama yoyote akienda kula na kulamba huo mkunduh huyo mwamba atambana kichwa huyu mnyama mpaka afe....
 
Kumbe ndo huyu. Siku moja usiku tulivu nimekaa zangu home. Mara nikaona kiumbe kinakwea mti kwa haraka sana. Kilikuwa ni hiki kiumbe kinafuata viota vya ndege, ilikuwa ni maajabu kwangu kwa mara ya kwanza kuona kiumbe hiki nikachukua camera nikipige ajabu ni kuwa hakikuonekana kwenye picha na sijui kilitokomea wapi?
 
Atakua alijificha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…