SI KWELI Kanu ni Mnyama anayenukia harufu ya ubwabwa porini/vichakani

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mstaarabu anapotukana mitusi mfano wa hii unabaki unashangaa tu!
Ungepungukiwa na nini ungemuelekeza kwa utaratibu alitakiwa afanye jambo gani kuokoa kuku wake na maisha ya huyo mnyama?
 
Anaitwa serval cat kwa Kiingereza. Nilishamuona mara kadhaa, sikujua kwamba ndie anaetoa harufu ya namna hiyo
 
Alikuwa anakuletea nyama ya kuku nnn mkuu
 
Ni huyu anaachi ushuzi anapanda juu ya mti chini kama kuna mbwa hilo eneo watazu nguka kutwa nzima wakitafuta.
Hata ukimgusa huo mkono unanukia balaa hadi ufue nguo ndio harufu kutoka
Ukinawa kwa sabuni tuu na brush harufu haitoki
Huyu ndiye wa kuitwa fungo ?
 
Jiandae kuilipa faini serikali kupitia Wanyamapori act na TAWA
 
Binadamu tuna kaukatili fulani, ilikua kwenye harakati zake za kutafuta riziki ili aweze kuendelea kuishi kwenye ardhi hii ya dunia kama vile tulivyo sisi ama hao kuku, ila ndio hivyo tena kakutana na binadsmuy mwenye ubinasfi .
Binaadamu wanauwa binaadamu wenzao, seuze mnyama
 
Punguza mihemko.
 
Aisee tumekula sana huyu mdudu anaitwa mtoro
 

Huyo kwa huku dar hawapo
 
Kwamba wewe ndie umeelimika? Ungekuwa mstarabu na umeelimika ungetumia lugha hizi? Hapo ulipo una kadegree kutoka SUA hata njiwa hujawahi kufuga na hata hujui uchungu wa kupoteza mifugo. Hovyo kabisa
 
Mdiyo wamemuua ili wamle ubwabwa?
Hivi ile harufu ya wale si huwa ni nyoka akiwa anajivua ametoka kujivua gamba?
Ingawa wengine walikuwa wanaamini ni majini yapo kupika. Bongo ya zamani ilikuwa tamu sana aisee, sijui siku hizi hata mnawezaji kuishi.
 
Kwa uelewa wangu najua chatu ndo halafu kadhaa kulingana na kitoweo alichoona

Mfano akiona nyani atatoka harufu ya ndizi na akiona mbwa ama jamii ya bweha atatoka harufu ya mzoga ulio oza/haribika ana harufu nyingi tu kulingana na windo alilo ona.
 
Mkuu umefanya kosa sana kumuua. Hao viumbe wapo hatarini kutoweka.
Mara ya mwisho kumuona Kanu vichaka makumbuka ilikuwa 1994.

Next time pigia simu Afisa wanyapori TANAPA watakuja kumkamata sio kuwaua.
 
Mkuu umefanya kosa sana kumuua. Hao viumbe wapo hatarini kutoweka.
Mara ya mwisho kumuona Kanu vichaka makumbuka ilikuwa 1994.

Next time pigia simu Afisa wanyaporiTANAPA watakuja kumkamata sio kuwaua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…