Kanuni 10 muhimu za kukusaidia na kukulinda mwanaume unapochepuka na mke wa mtu

Kanuni 10 muhimu za kukusaidia na kukulinda mwanaume unapochepuka na mke wa mtu

8. Usimchukulie kama mtu wa thamani sana mwanamke unaye chepuka naye! Maana tayari ana mtu wake. Hivyo unatakiwa ujione kama kidumu tu au second selection kwake.

mke wa mtu ni sumu! Hivyo wanaume tunatakiwa kuachana kabisa na tabia ya kutembea na wake za watu. Maana madhara yake ni makubwa, na hasa ikitokea umefumaniwa na mwenye mke.
Mke wa mtu sumu
 
Kwanza nawaombe Mods msiufute huu uzi. Maana una umuhimu na mafunzo makubwa sana kwa sisi wanaume.

Baada ya kutoa angalizo hilo, basi niende moja kwa moja kwenye kuzijadili sasa hizo kanuni moja baada ya nyingine:-

1. Usipige picha ya aina yoyote ile na mwanamke unayechepuka naye.

2. Ukimpigia simu, halafu mpokeaji akakata mara moja; basi usirudie tena na tena kumpigia. Maana inawezekana mwenye mali yupo karibu naye.

3. Usimtumie ujumbe mfupi wa mapenzi kwenye simu yake, au kutengeneza mazingira ya kuchat naye mara kwa mara kupitia whatsapp, texts, nk. Ni hatari kwako.

4. Usishawishike kwa namna yoyote ile kwenda kulala kwa huyo mwanamke. Utawekewa mtego na kuishia kukatwa katwa vipande na kwenda kutupwa mtoni.

5. Usije naye mazoe ya kukutana naye sehemu moja. Mfano kila mnapokuwa na miadi ya kuonana, basi lazima mkutane Kamficheni Lodge! Ni hatari kwako.

6. Usiwashirikishe marafiki zako au marafiki zake kwenye hayo mahusiano yenu. Hakikisha usiri unatawala muda wote baina yenu.

7. Akikupigia simu, usikimbilie kupokea! Hakikisha anaanza yeye kuongea. Ukikurupuka kupokea unaweza kuingia kwenye mtego iwapo aliyepiga ni mume wake akitaka kujiridhisha mwenye hiyo nba ni nani.

8. Usimchukulie kama mtu wa thamani sana mwanamke unaye chepuka naye! Maana tayari ana mtu wake. Hivyo unatakiwa ujione kama kidumu tu au second selection kwake.

9. Ikitokea kichwa cha chini kimekizidi nguvu kichwa cha juu na hivyo kujikuta umetengeneza mazingira ya ghafla ya kuonana naye, basi hakikisha unateremsha suruali yako nusu tu! Ili likitokea la kutokea, uweze kujitetea kwa kutimua mbio.

10. Hii kanuni ya 10 na ya mwisho, ndiyo muhimu na ya msingi kuliko kanuni zote hapo juu! Na yenyewe inasema hivi; mke wa mtu ni sumu! Hivyo wanaume tunatakiwa kuachana kabisa na tabia ya kutembea na wake za watu. Maana madhara yake ni makubwa, na hasa ikitokea umefumaniwa na mwenye mke.

Yaani hata ikitokea mwanamke mwenye ndiyo anakuletea vishawishi; hakikisha unavishinda ili kuepukana tu na usumbufu, fedheha na athari utakazopata, baada ya kufumaniwa na mwenye mke.

Naomba kuwasilisha.✍️
Humu watu kila siku wanalia kwamba Wake zao wanapigwa na watu na kupelekea ndoa kuvunjika.......Hiyo kanuni ya Mke wa Myu ni sumu haifanyi kazi?

Au ni vitisho tu?
 
Humu watu kila siku wanalia kwamba Wake zao wanapigwa na watu na kupelekea ndoa kuvunjika.......Hiyo kanuni ya Mke wa Myu ni sumu haifanyi kazi?

Au ni vitisho tu?
Kuna maziwaaa na kutaitiwa in G Nako's voice 😂😂
 
Kwanza nawaombe Mods msiufute huu uzi. Maana una umuhimu na mafunzo makubwa sana kwa sisi wanaume.

Baada ya kutoa angalizo hilo, basi niende moja kwa moja kwenye kuzijadili sasa hizo kanuni moja baada ya nyingine:-

1. Usipige picha ya aina yoyote ile na mwanamke unayechepuka naye.

2. Ukimpigia simu, halafu mpokeaji akakata mara moja; basi usirudie tena na tena kumpigia. Maana inawezekana mwenye mali yupo karibu naye.

3. Usimtumie ujumbe mfupi wa mapenzi kwenye simu yake, au kutengeneza mazingira ya kuchat naye mara kwa mara kupitia whatsapp, texts, nk. Ni hatari kwako.

4. Usishawishike kwa namna yoyote ile kwenda kulala kwa huyo mwanamke. Utawekewa mtego na kuishia kukatwa katwa vipande na kwenda kutupwa mtoni.

5. Usije naye mazoe ya kukutana naye sehemu moja. Mfano kila mnapokuwa na miadi ya kuonana, basi lazima mkutane Kamficheni Lodge! Ni hatari kwako.

6. Usiwashirikishe marafiki zako au marafiki zake kwenye hayo mahusiano yenu. Hakikisha usiri unatawala muda wote baina yenu.

7. Akikupigia simu, usikimbilie kupokea! Hakikisha anaanza yeye kuongea. Ukikurupuka kupokea unaweza kuingia kwenye mtego iwapo aliyepiga ni mume wake akitaka kujiridhisha mwenye hiyo nba ni nani.

8. Usimchukulie kama mtu wa thamani sana mwanamke unaye chepuka naye! Maana tayari ana mtu wake. Hivyo unatakiwa ujione kama kidumu tu au second selection kwake.

9. Ikitokea kichwa cha chini kimekizidi nguvu kichwa cha juu na hivyo kujikuta umetengeneza mazingira ya ghafla ya kuonana naye, basi hakikisha unateremsha suruali yako nusu tu! Ili likitokea la kutokea, uweze kujitetea kwa kutimua mbio.

10. Hii kanuni ya 10 na ya mwisho, ndiyo muhimu na ya msingi kuliko kanuni zote hapo juu! Na yenyewe inasema hivi; mke wa mtu ni sumu! Hivyo wanaume tunatakiwa kuachana kabisa na tabia ya kutembea na wake za watu. Maana madhara yake ni makubwa, na hasa ikitokea umefumaniwa na mwenye mke.

Yaani hata ikitokea mwanamke mwenye ndiyo anakuletea vishawishi; hakikisha unavishinda ili kuepukana tu na usumbufu, fedheha na athari utakazopata, baada ya kufumaniwa na mwenye mke.

Naomba kuwasilisha.✍️
Wema wa Mungu unaokuweka mimi na wewe hai leo ni ili tugeuke na kuziacha njia zetu mbaya, tumrudie yeye, atusamehe dhambi zetu. 1 KORINTHO 6:18-20 INASEMA, Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? wala nini si mali yenu wenyewe, maana mlinunuliwa kwa thamani. sasa basi mtukuzeni Mungu katika miili yenu.

God has trusted you with that body, sio kwamba ili uuchafue, bali ili uutunze, unapozini unauchafua,anaweza kukunyang'anya akiamua, hata ukiona upo hai jua wema wake unakuhifadhi akitegemea kuna siku utastuka kuona umeneemewa ukatubu na kugeuka, usichezee neema ya Mungu.

kwenu ninyi ambao hamjaokoka, hivyo hivyo ulivyo Mungu atakupokea na atabeba mizigo yako yote, sali sala hii pamoja na mimi:

Eee Mungu wangu, mbele zako mimi ni mwenye dhambi, ninaamini ulimtoa Yesu Kristo alikufa kama kafara kwa ajili ya ukombozi wangu, naomba unisamehe, uniokoe kuanzia leo, mimi niwe mali yako, futa jina langu katika Kitabu cha hukumu, andika jina langu katika Kitabu cha Uzima cha Mwana Kondoo Yesu Kristo, Katika Jina la Yesu! Amen.

hivihivi kimchaezo mchezo umeshaokoka, acha dhambi, kimbia dhambi na jiunge na wale waliookoka ili mmwabudu Mungu pamoja. Ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom