Kanuni 9 ambazo kila mwanaume inabidi azijue

Kanuni 9 ambazo kila mwanaume inabidi azijue

Daktari wa Manchester

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2020
Posts
350
Reaction score
403
Habari za muda huu.

Hizi ndio sheria 9 ambazo kila mwanaume inabidi asijue!

1. Mwanaume inabidi uweze ku control hisia zako.

2. Mwanaume inabidi uwe na uwezo kwa kuchanganua mambo kwa kutumia logic.

3. Mwanaume inabidi awe na uwezo wa kucontrol hasira zake.

4. Mwanaume hutakiwi kujieleza sana kwa demu wako au kuomba msamaha na ukiomba msamaha inabidi useme ni kosa langu na sio samahani.

5. Mwanaume inabidi awe kiongozi wa maisha yake na watu wanao mzunguka katika jamii.

6. Mwanaume inabidi awe mlinzi wa watu wanao mzunguka.

7. Mwanaume hatakiwi kukimbia matatizo bali awe na uwezo wa kuyakabili matatizo.

8. Mwanaume inabidi awe anajihusisha na kujenga jamii namanisha shughuli yoyote ambayo ina add value kwa jamii.

9. Mwanaume inabidi awe na nidhamu katika mambo yake anayofanya kila siku asitegemee motisha kutoka kwa watu iwe ni online au offline

Ahsanteni.
 
IMG_20230306_185711_640.jpg
 
Pia mwanaume lazma uwe unajua kujitetea Either ngumi au mbio .....usiwe na kitambi mpaka unaboa
 
Habari za muda huu.

Hizi ndio sheria 9 ambazo kila mwanaume inabidi asijue!

1. Mwanaume inabidi uweze ku control hisia zako.

2. Mwanaume inabidi uwe na uwezo kwa kuchanganua mambo kwa kutumia logic.

3. Mwanaume inabidi awe na uwezo wa kucontrol hasira zake.

4. Mwanaume hutakiwi kujieleza sana kwa demu wako au kuomba msamaha na ukiomba msamaha inabidi useme ni kosa langu na sio samahani.

5. Mwanaume inabidi awe kiongozi wa maisha yake na watu wanao mzunguka katika jamii.

6. Mwanaume inabidi awe mlinzi wa watu wanao mzunguka.

7. Mwanaume hatakiwi kukimbia matatizo bali awe na uwezo wa kuyakabili matatizo.

8. Mwanaume inabidi awe anajihusisha na kujenga jamii namanisha shughuli yoyote ambayo ina add value kwa jamii.

9. Mwanaume inabidi awe na nidhamu katika mambo yake anayofanya kila siku asitegemee motisha kutoka kwa watu iwe ni online au offline


Ahsanteni.
11. Mwanaume lazima awe na msimamo thabit,kutokuwa mnafi,ik, kutokupindisha maneno ama kauli pale kitendo au vitendo vinavokiuka maadili yake ama msimamo wake.
 
Back
Top Bottom