MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Achana na mapunga, tunavyo yataja ndiyo kama tunayapa promoIssue sio hela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na mapunga, tunavyo yataja ndiyo kama tunayapa promoIssue sio hela.
Ndio hapo sasa. Sifa za mwanaume ni zile zile uwe na pesa au usiwe nazoukiwa na pesa halafu huna sifa za kiume utaheshimika kwa unafiki na wanwake watakuita mbumbumbu watakula pesa zako kibaya watu hawajui kunakua na pesa afu kuna uanaume??
😅😅😅Achana na mapunga, tunavyo yataja ndiyo kama tunayapa promo
yap si unaona mtaani unakuta mtu namkawanja ila unakuta tabia zinakushangaza kuna bro mmoja yuko vizuri tu ila mtaa mzima akipita hapa ni kujisifia kwamba anahonga sana afu ni wanaovaa vikaptula vifupi, mazoea na mademu hovyo hovyo ,ikitokea mtu kapishana naye kauli anatukana..ndio anapesa lakini heshima ya uanaume haipo watu wanajikomba kumsifia umependeza,una mademu wengi ili tu watatuliwe shida zaoNdio hapo sasa. Sifa za mwanaume ni zile zile uwe na pesa au usiwe nazo
Ndio ndio mateso yapo ndio inabidi tupambane.
👊11. Mwanaume lazima awe na msimamo thabit,kutokuwa mnafi,ik, kutokupindisha maneno ama kauli pale kitendo au vitendo vinavokiuka maadili yake ama msimamo wake.
Hayo yote matokeo yake ndio pesa.Bila pesa ni upuuzi tu.
We jamaa na picha yako hiyo
Piga nyundo ponda kabisa uachane na tabu na maradhi
Issue sio hela.
🤣🤣🤣🤣Ushaambiwa Mapunga ni kitu ingine, mbona wewe Punga mgumu kuelewa, anzisha uzi wako "Mapunga na Mahela"