Kanuni mpya za usajili wa laini za simu: Masuala muhimu ya kujua

Asante sana Matojo, unastahili kuwa jaji sema basi tu
 
KUNA ULE MSEMO WA TUNA SAFARI NDEFU WALA SIONI KAMA TUNA SAFARI, AFRIKA HAIENDI POPOTE MAANA MUAFRIKA AKISHAKUWA KINGOZI ANAJIPA UMUNGU MTU.

WALIPOSEMA AFRIKA IS BLACK HAWAKULENGA RANGI ZETU WALIMAANISHA UBONGO MWEUSI.
 
Kwani mtukufu rais anasemaje? In tz it is one man's (de president) show that works. Hayo mengine mnayoyaita sijui sheria sijui katiba ni viini macho hata mkiandika kitabu chenye kurasa millions ya hayo mnayo yahubiri kuwa ni sheria kamwe hayatakuja kuwa na mashiko hapa kwetu bongolala!!
 
Africa bana...tunasafari ndefu sana, lengo lenu ni lipi hasa kuhakikikisha usalama wa mtumiaji wa simu au kupunguza idadi ya simu cards ambazo raia wanaweza kutumia kwa utashi wao?

Kwa nini kama issue ni usalama msiache mtu atumie laini zozote kwa idadi yoyote cha msingi isajiliwe..shida ni nini hapa?? Teknologia hamna au ni nini? Na kama basi kitu kama hicho kinatushinda tutawezafanya nini sasa?

Hao Maprof na Madotka wa falsafa katika masuala hayo wameshindwa kuwashauri cha kufanya.

AFRICA tuna safari ndefu sana na hatufiki leo wala kesho.

Nilipokua mdogo Miaka ya 90 nilifikiri kuwa Watu wakubwa wote wanaupeo, uelewa na akili sana kuhusu kila kitu.

Siku hizi nimegundua sio kabisa, Mtu anaweza kuwa mzee lakini ni mjinga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meko anaogopa mitandao sana hadi Mwanae na yeye anataka kupambana na "JAMUHURI" ya Twitter .
 
Na Kama nilisajili laini zaidi ya moja ya mtandao mmoja mfano Vodacom Tanzania kabla ya hio February 7, sihusiki kuchagua moja au nahusika.?

Msaada please.

Stay tuned [emoji6], Everything would be alright.
Naomba ufafanuzi kwenye hili swali maana tangazo halisemi chochote.
 
Kama mimi nilisajili laini mbili moja ni kwajili ya simu ya mkononi ya nyumbani kwajili ya mawasiliano na familia tunapokuwa kazini. Sijui hizi amri zinakaaje kaaje.
 
Jibu kwa kifupi, HAIWAHUSU.
Mko salama.
mimi nimesitishiwa huduma kwa line yangu moja ambayo sijaisajili kwa alama za vidole,na niliinunua na kuisajili kwa mujibu wa sheria ambazo zilikuepo kabla ya sheria tajwa ya feb 7
 
daah hii nchi yetu sometimes viongozi wanafanya maamuziua kif@ler sana, yaani tunarudishwa nyuma sana kwenye mambo ya teknolojia na hii awamu ya Mh. sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Duuu, Mambo kibao.
 


Linauzwa wapi maana sisi wa vijijini halitufikii
 
Shukurani zimepokelewa kwa moyo mkunjufu.

Hii ya kumiliki line moja ya simu kwa mtandao mmoja tu, imekaa vibaya sana, yaani TCRA kweli you failed to know mtu mmoja kumiliki line zaidi ya moja kwa kampuni moja ya simu ni jambo la afya sana sanaa na mnazuia kweli?

Kwanza mtaua business za kampuni ya simu sana tu, pili mapato ya serikali yatashuka sana, na mbaya zaidi hamna sbb ya msingi kuzuia mtu kumiliki line zaidi ya moja kwa kampuni moja ya simu. Kama sbb ni uhalifu, hapo mmekosea, sbb uhalifu unaweza kudhibitiwa hata mtu akiwa na line zaidi ya moja ya kampuni moja ya simu.

Sioni sababu yoyote, mmepotea kabisa, nimesikitika sana kuona mmewaza poorly hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…