NkumbiSon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,483
- 3,492
Usikalili. Kwani ukitumia No za nje hauwezi kupata confirmation code?Ata ukitumia email kujisajili io email huwezpata bila phone number ndugu take care database zinalink wjatever ni gmail with jamii forum au so zitalink tu mpaka wakudake na km ulimuomba mjomba sim wataanza na uyo uyo mjomba wako
wangapi wanatumi whatsapp au email kwakuiunganisha na no za nje ya nchi.
walioliwaza hili walitumia siasa zaidi kuliko taaluma.
Sent using Jamii Forums mobile app