dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... inategemea una-compare na nani! Mdau hapo juu kadai mtalaka wake ana 1.7b/-; so Ye ni "kifaranga" kwake.400m usd ni pesa ndefu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... inategemea una-compare na nani! Mdau hapo juu kadai mtalaka wake ana 1.7b/-; so Ye ni "kifaranga" kwake.400m usd ni pesa ndefu sana.
Wamekosa nini kwani? Na mbona hapo kwenye ki english wameandika watagawana sawa sawa matumizi ya watotoWashnz sana nawashanga watu wanaofatilia familia ile
Ova
Utajiri wa hisa wa ajabu sana. Naona ni kama aina fulani ya kamari hivi. Kampuni hisa zikishuka thamani na utajiri unapotea, aisee!Sehemu kubwa ya utajiri wao huwa unakuwa wa "kwenye karatasi". Mfano Ye utajiri wake sehemu kubwa ilikuwa ni hisa zake kwenye brand ya Yeezy na collaborations nyingine za fashion kama GAP, Balenciaga na kadhalika. Baada ya kampuni hizo kumtema ina maana hana tena hisa ndio maana "utajiri" umeporomoka.
Wadangangaji wa duniaHawa kadashian wana laana
Ova
Kuna mijitu inafata mkumbo sana, eti "ile familia ina laana" lol, watu wenye utajiri wa Pesa na utajiri wa Watoto unawaita wana laana!!Wamekosa nini kwani? Na mbona hapo kwenye ki english wameandika watagawana sawa sawa matumizi ya watoto
Nao Adidas mapato yao yameshuka kinomaAdidas alivyochomoka, Ye akashuka
Kim aliipambania ndoa kama wanawake wa kibongo tunavyohusiwa uvumilivu....mwisho wa siku naona alichoka akabwaga manyanga.Kuna mijitu inafata mkumbo sana, eti "ile familia ina laana" lol, watu wenye utajiri wa Pesa na utajiri wa Watoto unawaita wana laana!!
Ni kweli watagawana nusu kwa nusu kwenye matunzo ya Watoto pia wengi hawajui watoto wa Ma Star wanavyoishi hizo gharama za kuwalipa wafanyakazi, ulinzi, n.k sio za kitoto,
Btw, Kim alijaribu sana kuisave hiyo Ndoa isivunjike lakini Ye U Bipolar umezidi kuwaka acha kila Mtu atafute amani zake.
Hiyo familia ina laana tuWamekosa nini kwani? Na mbona hapo kwenye ki english wameandika watagawana sawa sawa matumizi ya watoto
Watu wanachukulia rahisi sana kuishi na mgonjwa wa akili, kajitahidi for six years, hata shauri la Talaka lilipotoka Kim alilia sana hakuna Mtu anapenda watengane na mwenzie tena waliozaa watoto wanne.... Bipolar ya Kanye ishakua sugu.Kim aliipambania ndoa kama wanawake wa kibongo tunavyohusiwa uvumilivu....mwisho wa siku naona alichoka akabwaga manyanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahKabisa ,Mtoto ametusua kwa ajili ya sex tape na baba yake naye amejiunga kwenye rain bow transgender.