Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allooo hata mimi nilistukaa sana niliposoma..Sio huyo nifer ndio ana tabia kama za kanye.
Ila Me kavaa vizuri ila yeye yupo mtupu kabisa. Huoni kama mwanamke ndio hopeless kabisa.Wote akili moja
Nati zimelegea sana
Afu huyo Kanye west si ni msanii wa gospel auHawa ni BANGI wote🤣🤣
Anavalishwa malboro kama maiti nae anaenda tu....chondechonde wadada wa Tanzania msije kuiga maana nawajuaHuu kweli ni mdoli,afu kumbe alikuwa uchi kabisa,naona google wanazificha hz pichaView attachment 3223468
Ila Me kavaa vizuri ila yeye yupo mtupu kabisa. Huoni kama mwanamke ndio hopeless kabisa.
Mbona lawama ni kwa Kanye tu ilhali yeye amevaa sawa, mbona hamumsemi huyo mdoli.
Not kanye, labda kama kanye umemjua jana the guy is crazy and genius at the same time. Kanye sio mwafrika mwenzenu kubwa jinga emanueli ebue ambae hajui hata kusoma.Tutasikia mengi siku huyo Bipolar akiachana na Bianca, na ole wenu mumtetee akianza kufunguliwa mashtaka na kufilisiwa mali zake lakini hii pia muone jinsi gani Kim alimvumilia huyo Bipolar, kuishi na mtu wa aina hiyo ni ngumu sanaaaa
Plastic sajaree 🤣Huyo mdada ana matiti mazuri.
Hata R Kelly na P Didy mlisema hivi hivi,Not kanye, labda kama kanye umemjua jana the guy is crazy and genius at the same time. Kanye sio mwafrika mwenzenu kubwa jinga emanueli ebue ambae hajui hata kusoma.
Hujaulizwa na hujui loloteHata R Kelly na P Didy mlisema hivi hivi,
The clock is ticking
Punguza shobo mwanetuHujaulizwa na hujui lolote