Kanye West na mkewe kwenye red carpet za Grammy

Kanye West na mkewe kwenye red carpet za Grammy

Njaa ni mbaya sana, huyo dada tamaa ya maisha mazuri ndiopo yalipomfikisha hapo
 
Tutasikia mengi siku huyo Bipolar akiachana na Bianca, na ole wenu mumtetee akianza kufunguliwa mashtaka na kufilisiwa mali zake lakini hii pia muone jinsi gani Kim alimvumilia huyo Bipolar, kuishi na mtu wa aina hiyo ni ngumu sanaaaa
 
Tutasikia mengi siku huyo Bipolar akiachana na Bianca, na ole wenu mumtetee akianza kufunguliwa mashtaka na kufilisiwa mali zake lakini hii pia muone jinsi gani Kim alimvumilia huyo Bipolar, kuishi na mtu wa aina hiyo ni ngumu sanaaaa
Not kanye, labda kama kanye umemjua jana the guy is crazy and genius at the same time. Kanye sio mwafrika mwenzenu kubwa jinga emanueli ebue ambae hajui hata kusoma.
 
Huyu Kim muuza milk ndo alikuwa kiboko yake. Itafika siku huyu kisukure wake atapata atoney wa kilatino apewe kesi hata domestic violence afilisiwe.
 
Back
Top Bottom