Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Hii ni kudhalilisha utu wa wanawake.Jumuia za kimataifa zilaani hizi mambo sio sawa kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu ni udhalilishaji wa kijinsia, kwa nn Kanyeni na yeye hakukaaa uchi
Feminist hamna akilihuu ni udhalilishaji wa kijinsia, kwa nn Kanyeni na yeye hakukaaa uchi
Feminists brohMbona lawama ni kwa Kanye tu ilhali yeye amevaa sawa, mbona hamumsemi huyo mdoli.
Amejidhalilisha mwenyewe kwani Kanye alimlazimisha akae uchi?huu ni udhalilishaji wa kijinsia, kwa nn Kanyeni na yeye hakukaaa uchi
ATakua amemuinfluence mwenzieMboa kanye mwenyewe hajavaa kiajabu ajabu kama uyo bangi mwenzake
Unazingua😀Afu huyo Kanye west si ni msanii wa gospel au
Lakini si kweliUnazingua😀
Uyo hip hop ngumu ya old schoolLakini si kweli
Mimi niliskia kaanza kuimba gospel na ana choir yakeUyo hip hop ngumu ya old school