The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
[emoji16][emoji16]Ila ukweli usemwe hivi unaoje mtu kaachwa !? Mimi tangy nishike pesa hata vitu vya mtumba sinunui ,ndio kuoa mke mweny mtoto .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]Ila ukweli usemwe hivi unaoje mtu kaachwa !? Mimi tangy nishike pesa hata vitu vya mtumba sinunui ,ndio kuoa mke mweny mtoto .
nakaziaIla ukweli usemwe hivi unaoje mtu kaachwa !? Mimi tangy nishike pesa hata vitu vya mtumba sinunui ,ndio kuoa mke mweny mtoto .
Hasa Hawa wanaooa!Kuna watu hawana akili za kawaida.
Kataa ndoa na stori za Kutunga kuhalisha Kampeni yao
Harusi ilifanyika 27/12/2023 nilihudhuria pia tukanywa tukafurah leo napewa taarifa wameachana baada ya mwamba kugundua demu anapasha kipolo na mzaz mwenzake(mwanaume aliyezaa nae), demu kaomba msamaha vikao vimekalika lakini our own legend kasema no it's over!,ndoa za sikuhizi💔🙌
Huyo aliyezaa sasa akae na aliyezaa naewapo wadada walipata mimba kwa siku moja. wakatelekezwa. wapo wadada wametoa mimba mpaka kizazi kikasema poo!
mke aliyezaa ana akili kuliko aliyetoa mimba!
Yesu ni Bwana na Mwokozi
Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
Hapo kwenye Afya salama- who cares?Huyo kafanya vema na iwe fundisho kwa wanawake wengine wanaoolewa mara ya pili wakati waume zao wa mwanzo wapo hai. Lakini huyo jamaa naye ni fala tu, ataoaje mwanamke aliyezaa wakati anajua mume wake waliyezaa nae yupo hai? Hatata kama wameachana wale huunganishwa na mtoto/watoto waliyozaa pamoja. Ni likely kukutana kwa siri au wazi kama wazazi kwa ajili ya watoto/mtoto wao na wanaweza wakapasha kiporo kama afya zao ni salama. Mwanaume kuoa mwanamke mwenye watoto/mtoto huku baba watoto/mtoto yupo hai huko ni kujitoa ufahamu na kupotezea maumivu yatakayojitokeza
kuna mmojawapo hapo utakuta tayari amepata ngwengwe, anamuunguza mwenzake kwa makusudiHapo kwenye Afya salama- who cares?
Ogopa sana mwanamke anayemuua mtoto wake mwenyewe kwenye tumbo lake kisa kutafuta sifa kwenye jamii kuwa bado hajazaa,imagine kiumbe asiye na hatia anauwawa kisa tu apate sifa hivi atashindwa kumuua mtu mwingine kwa maslah yake?wapo wadada walipata mimba kwa siku moja. wakatelekezwa. wapo wadada wametoa mimba mpaka kizazi kikasema poo!
mke aliyezaa ana akili kuliko aliyetoa mimba!
Yesu ni Bwana na Mwokozi
Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
Dah!....inasikitisha sana, huyo mwanamke ni muuajiHahahah dah, Kuna mwingine huku kapata mchumba yupo mwanza mwanamke wa kigoma, ndoa inafungwa mwezi wa 5 lakini demu anakomaa kugawa uroda Kwa ex zake kwa nguvu zoote kabla ya kuingia ndoani, jamaa yeye Yuko mwanza anaamini demu anajipnga kwa ajili ya sendoff.
😃😃😃😃😃😃😃Hawa wanawake waone tu walivyo! Mmoja alitembea na ex wake usiku na kesho yake akafunga harusi. Jamaa nae alihudhuria na kumpongeza bwana harusi.