scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Oeni bikira,jamani haya mambo ya kijinga mara ex wake mara nani yake hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao walokole wanagawa kuliko unavyodhani. Hiyo ni tabia, haifichiki.dawa ni kumpa maisha Bwana Yesu kwa maana ya kuokoka. Yeye Bwana Yesu atakusaidia kuzishinda tamaa za mwili. katika Roho Mtakatifu.
JESUS IS LORD&SAVIOR
Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
Ila gharama zimeenda 😂😂
Harusi ilifanyika 27/12/2023 nilihudhuria pia tukanywa tukafurah leo napewa taarifa wameachana baada ya mwamba kugundua demu anapasha kipolo na mzaz mwenzake(mwanaume aliyezaa nae), demu kaomba msamaha vikao vimekalika lakini our own legend kasema no it's over!,ndoa za sikuhizi💔🙌
Bikra wa limau? Marinda kwishney.Oeni bikira,jamani haya mambo ya kijinga mara ex wake mara nani yake hakuna
Jamaa kutuwakilisha
Harusi ilifanyika 27/12/2023 nilihudhuria pia tukanywa tukafurah leo napewa taarifa wameachana baada ya mwamba kugundua demu anapasha kipolo na mzaz mwenzake(mwanaume aliyezaa nae), demu kaomba msamaha vikao vimekalika lakini our own legend kasema no it's over!,ndoa za sikuhizi💔🙌
jamaa kattuwakilisha vizuri kwa tusiopenda ujinga , big up kwake ✊🏼
Harusi ilifanyika 27/12/2023 nilihudhuria pia tukanywa tukafurah leo napewa taarifa wameachana baada ya mwamba kugundua demu anapasha kipolo na mzaz mwenzake(mwanaume aliyezaa nae), demu kaomba msamaha vikao vimekalika lakini our own legend kasema no it's over!,ndoa za sikuhizi💔🙌
Mwanamke hawezi kuacha kuliwa na mwanaume aliyezaa nae hasa kama ndio wa kwanza
Harusi ilifanyika 27/12/2023 nilihudhuria pia tukanywa tukafurah leo napewa taarifa wameachana baada ya mwamba kugundua demu anapasha kipolo na mzaz mwenzake(mwanaume aliyezaa nae), demu kaomba msamaha vikao vimekalika lakini our own legend kasema no it's over!,ndoa za sikuhizi💔🙌
Singo maza again 🤣🤣🤣🤣 tuwakumbushe mara ngapi? 😆
Harusi ilifanyika 27/12/2023 nilihudhuria pia tukanywa tukafurah leo napewa taarifa wameachana baada ya mwamba kugundua demu anapasha kipolo na mzaz mwenzake(mwanaume aliyezaa nae), demu kaomba msamaha vikao vimekalika lakini our own legend kasema no it's over!,ndoa za sikuhizi💔🙌
Mkuu mbona kama unaunguza picha? Jamaa akiingia huku JF ndoa itaota mbawa.Hahahah dah, Kuna mwingine huku kapata mchumba yupo mwanza mwanamke wa kigoma, ndoa inafungwa mwezi wa 5 lakini demu anakomaa kugawa uroda Kwa ex zake kwa nguvu zoote kabla ya kuingia ndoani, jamaa yeye Yuko mwanza anaamini demu anajipnga kwa ajili ya sendoff.
Wapo we tafuta utawapatsBikra wa limau? Marinda kwishney.
Noma sana!Ila ukweli usemwe hivi unaoaje mtu kaachwa !? Mimi tangylu nishike pesa hata vitu vya mtumba sinunui ,ndio kuoa mke mweny mtoto .