Kaolewa, kapasha kiporo kwa Baba mtoto, kaachwa!

Ila gharama zimeenda 😂😂
 
Jamaa kutuwakilisha
jamaa kattuwakilisha vizuri kwa tusiopenda ujinga , big up kwake ✊🏼
 
Mwanamke hawezi kuacha kuliwa na mwanaume aliyezaa nae hasa kama ndio wa kwanza
 
Wanawake kama hao mnawatoa wapi
 
Singo maza again 🤣🤣🤣🤣 tuwakumbushe mara ngapi? 😆
 
Mkuu mbona kama unaunguza picha? Jamaa akiingia huku JF ndoa itaota mbawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…