Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Heee! Wewe poti??Nimejaribu kujifanya mimi ni ccm damu damu nikapita mitaa miwili mitatu kupiga story na "wanangu" kuhusu "mafanikio" ya John, nikawaambia tarehe28 tumpe mitano tena! Loh kilichonitokea najuta hata maigizo niliyofanya! Nilitimuliwa mbio kama mwizi, nimerudi baadae kuja kuwaambia wanangu enh mimi mwenzenu bhana, nilikuwa natest tu zali kama huku kijijini napo hamumuelewi "dikteta", wana wamekuwa wagumu kunielewa mpaka imebidi niwaoneshe magroup yote ya whatsapp niliyopo kwenye simu na uchangiaji wangu, na vile mimi ni "poti" basi bado wana mashaka namimi kama kweli naweza kusapoti haki na usawa ambao tumekuwa tukiwanyima wananchi kwa kutumikishwa na majizi ya ccm
Bado sikuamnini hata sasa.
Nyie mapoti hamueleweki, yawezekana unajaribu kutuchota akili hapa.
Nyie mapoti mnalipwa vizuri ndo maana mnaona sawa tu.