Uchaguzi 2020 Karata ya mwisho ya CCM ni kuahirisha uchaguzi na sio kuiba kura

Uchaguzi 2020 Karata ya mwisho ya CCM ni kuahirisha uchaguzi na sio kuiba kura

CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama vingine na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.

CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.

Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.

Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.

Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.

Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.

Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.
Uchaguzi huu tofauti Sana na chaguzi zilizopita
Miaka mitano hii
Tumezika wengi
Wamefikisiwa wengi
Wamefungwa wengi
Wamebomokewa wengi
Hela za wahanga wa tetemeko
Tumechoka kutawaliwa kidikteta na Familia moja
We can't breathe
We have nothing to loose
Jiwe akicheza atajuta
Tumekata tamaa liwalo na liwe
 
Uchaguzi huu tofauti Sana na chaguzi zilizopita
Miaka mitano hii
Tumezika wengi
Wamefikisiwa wengi
Wamefungwa wengi
Wamebomokewa wengi
Hela za wahanga wa tetemeko
Tumechoka kutawaliwa kidikteta na Familia moja
We can't breathe
We have nothing to loose
Jiwe akicheza atajuta
Tumekata tamaa liwalo na liwe
Hicho ndicho kinachoipa kiwewe CCM.
 
Hivi mnaposema ccm ina mtaji wake wa wanachama huwa mnatumia akili kuongea au mnaimba tu kama kasuku? Huo mtaji ni maroboti wasio na utashi wa kuhama chama wanapoona dhuluma inafanyika. Au ukiwa ccm huwezi kuhama chama hata kama unadhulumiwa?
CCM tunamitaji mingi
1 mabashite wa kutosha
2 film stars X GWAJI
3 Mayanga construction co. LTD
4Wasanii
5 wapwa wenye funguo za hazina
6 kiwanja chato
7 hekta 25000 kule karagwe
8 wauaji wasio julikana
9 NEC
10 Msajili wa vyama
11 wanafunzi wanaojaa kwenye kampeni 12 wapenda mziki wanakuja kwenye fiesta
Nk nk nk
Ddduuuh
Hio ni 1% ya watanzania lakini tutashinda
Anyway tunamtaji nyie wapinzani hamna bashite wala NEC
SOMETHING IS BETTER THAN NOTHING
 
Mambo magumu Mpaka Jiwe anawaomba msamaha aliowaita wapumbafu sio mchezo .
Screenshot_20200927-201452.png
Screenshot_20200927-201048.png
Screenshot_20200927-194236.png
Screenshot_20200927-195837.png
Screenshot_20200927-113756.png
Screenshot_20200927-101735.png
 
Hawatoahirisha Uchaguzi. Wanachoweza kufanya ni kile alichofanya Kenyatta hapo Kenya: Inapigwa model na calibrated equation ambapo kila kura moja ya Lissu, kwa Magufuli inamultiply let say by 1.7

Ni bora kuomba ushauri wa Maalim Seif. Mwaka 2015 aliwakalia kooni na ilibidi uharamia wa ajabu sana ufanyike ili kuokoa jahazi lao
Macho madogo wapo nyuma ya hii kitu.
 
Hawatoahirisha Uchaguzi. Wanachoweza kufanya ni kile alichofanya Kenyatta hapo Kenya: Inapigwa model na calibrated equation ambapo kila kura moja ya Lissu, kwa Magufuli inamultiply let say by 1.7

Ni bora kuomba ushauri wa Maalim Seif. Mwaka 2015 aliwakalia kooni na ilibidi uharamia wa ajabu sana ufanyike ili kuokoa jahazi lao
Aisee,kumbe ndo maana wamemuweka Mahera mtaalam Wa hesabu.
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Kiki zenu za mwisho mwisho, kuku hata umkate kichwa bado atajaribu kukimbia.
 
CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama vingine na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.

CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.

Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.

Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.

Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.

Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.

Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.
Wamuue mgombea mmoja ili uchaguzi uahirishwe
 
CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama vingine na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.

CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.

Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.

Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.

Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.

Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.

Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.
Nimejaribu kujifanya mimi ni ccm damu damu nikapita mitaa miwili mitatu kupiga story na "wanangu" kuhusu "mafanikio" ya John, nikawaambia tarehe28 tumpe mitano tena! Loh kilichonitokea najuta hata maigizo niliyofanya! Nilitimuliwa mbio kama mwizi, nimerudi baadae kuja kuwaambia wanangu enh mimi mwenzenu bhana, nilikuwa natest tu zali kama huku kijijini napo hamumuelewi "dikteta", wana wamekuwa wagumu kunielewa mpaka imebidi niwaoneshe magroup yote ya whatsapp niliyopo kwenye simu na uchangiaji wangu, na vile mimi ni "poti" basi bado wana mashaka namimi kama kweli naweza kusapoti haki na usawa ambao tumekuwa tukiwanyima wananchi kwa kutumikishwa na majizi ya ccm
 
Back
Top Bottom