Uchaguzi 2020 Karata ya mwisho ya CCM ni kuahirisha uchaguzi na sio kuiba kura

Uchaguzi 2020 Karata ya mwisho ya CCM ni kuahirisha uchaguzi na sio kuiba kura

Hivi mnaposema ccm ina mtaji wake wa wanachama huwa mnatumia akili kuongea au mnaimba tu kama kasuku? Huo mtaji ni maroboti wasio na utashi wa kuhama chama wanapoona dhuluma inafanyika. Au ukiwa ccm huwezi kuhama chama hata kama unadhulumiwa?

Mnachosahau ni kwamba CCM ni taasisi tofauti na vyama vyenu vya msimu, mwezi june kabla ya uchaguzi ndani ya chama ccm ilihakiki daftari lake la wanachama ili kupata wapiga kura ndani ya chama kwenye uchaguzi wa ndani. Kumbuka ccm tangu 2015 imefanya uchaguzi mkuu mara mbili; kwanza uchaguzi wa viongozi wa chama kwa kipindi cha miaka mitano na pili uchaguzi wa watia nia kuwapata wagombea kwenye ugombea wa ubunge na udiwani, two months ago such an election was conducted. Tegemea wanachama hai wa ccm watakwenda kuwapigia wagombea wao yaani kuwa na mafiga matatu.

Nimejaribu kukupa picha ya juu juu ili ufahamu kwamba Lissu ategemee kipigo cha karne cha kushindwa, ajue anashindana na taasisi imara.

Usinywe sumu kuna maisha baada ya uchaguzi, please
 
Mm na ww hatuwez kufaidika moja kwa moja endapo yoyote kat ya wagombea wakishinda, hvy n bora kujipa iman tuu

Angalau HAKI itatendeka.. Tatizo la waliopo sasa ni :-

i) WABAGUZI
ii) WABABE
iii) KUTENDA HAKI HAWAJUI
iv) MATUMIZI YA HOVYO YA KODI ZETU WAKATI SISI WENYEWE TUKO HALI MBAYA.

Na mashaka mashaka telee

Kila muungwana lazima awapinge kwa nguvu zotee..

Sasa wakisha kaa kambi ya UPINZANI BUNGENI na wao heshima lazima itarudi Tuu.
 
Ukweli ni kwamba haya usemayo ni maneno ya MFA MAJI. CCM inao mtaji wake kwa wananchama wake na wapenzi wake siyo "kwenye mbinu chafu". Na haya mnayasema sasa hivi kwa sababu ya kuaminishwa vibaya na kwa UONGO na akina Amsterdam, mkidhani watawasaidi kwa njia yoyote ile kwenye kushindwa kwenu kwenye uchaguzi huu. Hao wanatumia mbinu ya mwaka 47 kutaka kuleta fujo katika nchi zetu. Tunawafahamu na tumewashtukia!
Hivi Hao wanachama mnaodai mnajivunia mnawapa mishahara,mnawalipia ada watoto wao,mnawapa mbolea bure,nk mbona nao tunataabika nao mitaani,mbona nao wanazidi kuwa maskini???kwanini mnajivunia watu wenye taabu wenzetu?? Mwaka huu hawadanganyiki mana wamegundua nao wanataabika sasa ni kubadili Mfumo!
 
Mnachosahau ni kwamba ccm ni taasisi tofauti na vyama vyenu vya msimu, mwezi june kabla ya uchaguzi ndani ya chama ccm ilihakiki daftari lake la wanachama ili kupata wapiga kura ndani ya chama kwenye uchaguzi wa ndani. Kumbuka ccm tangu 2015 imefanya uchaguzi mkuu mara mbili; kwanza uchaguzi wa viongozi wa chama kwa kipindi cha miaka mitano na pili uchaguzi wa watia nia kuwapata wagombea kwenye ugombea wa ubunge na udiwani, two months ago such an election was conducted. Tegemea wanachama hai wa ccm watakwenda kuwapigia wagombea wao yaani kuwa na mafiga matatu.
Nimejaribu kukupa picha ya juu juu ili ufahamu kwamba Lissu ategemee kipigo cha karne cha kushindwa, ajue anashindana na taasisi imara.

Usinywe sumu kuna maisha baada ya uchaguzi, please
Tatizo lenu wanakuoneni fyuzi imepanguka, ndio maana wanakutumieni.

HAKI huinua taifa.. Hivi mkisikia neno " HAKI " huwa mnajiskiaje !!?
 
Kuna Mtu ninakumbuka aliwahi Kuniambia kuwa Uchaguzi Mkuu ulishafanyika mwaka jana ( 2019 ) na huu ujao ni 'White Elephant' tu Kiulimwengu.
 
Saccos ndio wenye tabia za kususasusa. Chama dume, tangu lini kikaogopa ngoma ya kitoto?. Kama CCM haikuahirisha 2015 na bado mkatandikwa, oct 28 mtabebwa kama unyoya.
 
Yaani nyinyi mbumbumbu mnashida sana nafikiri kichwani mwenu kuna makamasi tu ubongo haupo kabisa!
 
Ni bora tufunue marinda ya wanachema wote kuliko Lissu kuwa Rais hilo Jambo halipo leo wala halipo kesho wala keshokutwa.

Ni bora hata Tz ifanane na Libya kuliko kuruhusu shoga kuwa Rais wa nchi.
Kweli mkuu hawa wanasaccos wanamatatizo wanafikiri watz wajinga kiasi hicho lakini 28/10/2020 watawajua watz wakoje.
 
Kwenye iyo tarehe ndio mnamalizwa tuuu.

Mimi nawaambia kushindwa uchaguzi sio KIOJA , mnaingia kambi ya upinzani mara hii mkajipange UPYA wapi mlikosea.
Kuna majimbo 264 ! Niambie kwa upianzani upi uliopo unaoweza kuchukua hata majimbo 20 tu! Tanzania hii! Mnajidanganya sana chadomo!
 
Hivi mnaposema ccm ina mtaji wake wa wanachama huwa mnatumia akili kuongea au mnaimba tu kama kasuku? Huo mtaji ni maroboti wasio na utashi wa kuhama chama wanapoona dhuluma inafanyika. Au ukiwa ccm huwezi kuhama chama hata kama unadhulumiwa?
Ipo hivi CCM mpaka sas ina wapiga kura wanachama halali wapatao 8M ! Tuambie ninyi mnao wangap? Kishinda uchaguzi hakupo Jf ! Field ndipo mikakati ya Ushindi ilipo!
 
Hivi mnaposema ccm ina mtaji wake wa wanachama huwa mnatumia akili kuongea au mnaimba tu kama kasuku? Huo mtaji ni maroboti wasio na utashi wa kuhama chama wanapoona dhuluma inafanyika. Au ukiwa ccm huwezi kuhama chama hata kama unadhulumiwa?
Unajua ccm inawanachama wangapi?
Usifikuli unachopenda wewe au unachochukia ni sawa mwenzako. Subli 28 na atakaye apishwa ndo useme.
Unaweza kunipa tofauti ta Lowasa na Lissu.
 
Lisu ni mpinzan wa kweli wakati lowasa lilikuwa pandikizi la ccm
Unajua ccm inawanachama wangapi?
Usifikuli unachopenda wewe au unachochukia ni sawa mwenzako. Subli 28 na atakaye apishwa ndo useme.
Unaweza kunipa tofauti ta Lowasa na Lissu.
 
Ipo hivi CCM mpaka sas ina wapiga kura wanachama halali wapatao 8M ! Tuambie ninyi mnao wangap? Kishinda uchaguzi hakupo Jf ! Field ndipo mikakati ya Ushindi ilipo!
Hao wanachama 8m ni robot kwamba wamekuwa programmed hawezi kubadirika?
 
Kama mna wanachama wa kutosha mbona mnawawekea mapingamizi wagombea wa wapinzan?, mbona hawakuwafaa wkt wa uchaguz wa serikal za mitaa?, mbona mmelazimisha kupata wabunge bila kupingwa? na mbona mnaiogopa tume huru ya uchaguzi.

Unajua ccm inawanachama wangapi?
Usifikuli unachopenda wewe au unachochukia ni sawa mwenzako. Subli 28 na atakaye apishwa ndo useme.
Unaweza kunipa tofauti ta Lowasa na Lissu.
 
Msianze kutapatapa, nyinyi wenyewe mnatuletea wapinzani wabovu, na wengine mumewachinjia angani kwa kiki ya kuungana ambayo nikinyume na katiba na sheria za inchi. Halafu mnasema ccm itaiba kura kwani kunaupinzani gani ambao unaweza sababisha ccm iiibe kura??
Kwani wewe mgeni wa chaguzi za Tanzania.
 
Hata hiyo mbinu nayo itashi

Hata hiyo mbinu pia itashindwa kabla ya uzinduzi wake,kwa jinsi wasivyo na Hekima wanaweza kumtoa mtu kafara.Tuwe waangalifu,A dying horse...
 
Back
Top Bottom