Uchaguzi 2020 Karata ya mwisho ya CCM ni kuahirisha uchaguzi na sio kuiba kura

Uchaguzi 2020 Karata ya mwisho ya CCM ni kuahirisha uchaguzi na sio kuiba kura

CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.

CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.

Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.

Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.

Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.

Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.

Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.
wakiailisha uchaguzi alafu ikulu akaenani maana wengine atutaki kuwaona pale
 


CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.

CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.

Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.

Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.

Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.

Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.

Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.
 
Msianze kutapatapa, nyinyi wenyewe mnatuletea wapinzani wabovu, na wengine mumewachinjia angani kwa kiki ya kuungana ambayo nikinyume na katiba na sheria za inchi. Halafu mnasema ccm itaiba kura kwani kunaupinzani gani ambao unaweza sababisha ccm iiibe kura??
Wanajitekenya na kucheka wenyewe.

Kama wizi ungefanyika 2015 Awamu ya Magu imefanya kazi usiku na mchana.
 
Fujo mtake kusababisha nyie alafu mnataka kuhamisha goli kwa wengine.Ukiona ccm haijali kabisa swala la kua na siasa za kishindani za haki na usawa ujue wanaogopa kila kitu nandio maana ata swala tu tume huru ya uchaguzi na sheria zake pamoja na mapungufu yake hamtaki kabisa kuyasema au zibadilishwe.Huo mtaji unaousema wala sio wanachama bali vyombo vya serikali na ndipo kiburi chenu kilipo tofauti na hapo hamna kitu.Kwahiyo acheni kujificha kwenye mwavuli wa serikali.kama kweli mnajiamini njooni basi jinsi mlivyo bila msaada wowote muone kazi.
Ukweli ni kwamba haya usemayo ni maneno ya MFA MAJI. CCM inao mtaji wake kwa wananchama wake na wapenzi wake siyo "kwenye mbinu chafu".

Na haya mnayasema sasa hivi kwa sababu ya kuaminishwa vibaya na kwa UONGO na akina Amsterdam, mkidhani watawasaidi kwa njia yoyote ile kwenye kushindwa kwenu kwenye uchaguzi huu. Hao wanatumia mbinu ya mwaka 47 kutaka kuleta fujo katika nchi zetu. Tunawafahamu na tumewashtukia!
 
Taasisi gani hiyo inayoongoza serikali alafu inaogopa kuweka mazingira sahihi ya ushindani.Hakuna cha taasisi hapo,ni kakikundi tu cha watu walirithi nchi toka ukoloni wakaamua kutumia ujinga wa wananchi kujineemesha.Kwahiyo labda uniambie ni taasisi yakufisidi nchi.Ndo maana pamoja na mbwembwe zako nyingi dhidi ya ccm yako bado nchi hii ni maskini wakutupwa.
Mnachosahau ni kwamba CCM ni taasisi tofauti na vyama vyenu vya msimu, mwezi june kabla ya uchaguzi ndani ya chama ccm ilihakiki daftari lake la wanachama ili kupata wapiga kura ndani ya chama kwenye uchaguzi wa ndani. Kumbuka ccm tangu 2015 imefanya uchaguzi mkuu mara mbili; kwanza uchaguzi wa viongozi wa chama kwa kipindi cha miaka mitano na pili uchaguzi wa watia nia kuwapata wagombea kwenye ugombea wa ubunge na udiwani, two months ago such an election was conducted. Tegemea wanachama hai wa ccm watakwenda kuwapigia wagombea wao yaani kuwa na mafiga matatu.

Nimejaribu kukupa picha ya juu juu ili ufahamu kwamba Lissu ategemee kipigo cha karne cha kushindwa, ajue anashindana na taasisi imara.

Usinywe sumu kuna maisha baada ya uchaguzi, please
 
CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama vingine na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.

CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.

Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.

Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.

Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.

Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.

Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.
Acha kupotosha watu wewe unajua gharama ambayo serikali imetumia mpaka sasa kufanikisha zoezi la uchaguzi? Huu upotoshaji huwezi kuwapata wananchi wenye akili timamu utawapata wenzio tu
 
Acha kupotosha watu wewe unajua gharama ambayo serikali imetumia mpaka sasa kufanikisha zoezi la uchaguzi? Huu upotoshaji huwezi kuwapata wananchi wenye akili timamu utawapata wenzio tu
Nini kimepotoshwa.
 
CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama vingine na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.

CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.

Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.

Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.

Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.

Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.

Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.
Naona wamechelewa kwa kila kitu. Ila naona CCM na NEC kilichobaki kwao ni kuiba kura.
 
CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama vingine na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.

CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.

Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.

Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.

Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.

Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.

Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.

Mimi nadhani Kissy alikua anajishtukis tu mwenyewe kwa Mambo aliyoyafanya na kesi alizokuanazo. Hilo la kusema akija tu wangemkata alikua analisema yeye, kuhusu kuuwawa alisema yeye, NEC itamuemgua amesema yeye na vibaraka wake lakini hakuna taasisi nadhani yenye mpango nae. HUYU MTU NI MUONGO MUONGO, ANAPENDA KUZUSHA VITU AMBAVYO HAVIPO.

Mahakama tu ndio ina deni na Kissy na asijisahaulishe kesi zake bado zipo.
 
CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama vingine na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.

CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.

Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.

Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.

Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.

Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.

Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.


NEC ninavyojua ilishakabidhi wagombea Urais wa Vyama vyote orodha ya wapigakura. Hata zile hadithi za wanaongeza watu sijui wanafanya nini nilikua najiuliza zinatoka wapi na zinawezekanaje? Ila Nyumbu ni Nyumbu tu wakidanganywa ndio wanaoona Raha.

NEC ndio wenye shamans ya kuweka wazi hilo daftari ulilosema lipo wazi na si mamlaka au Chama chochote.

NEC ingelikua inania ya kufanya huo upuuzi mnaosema wala isingehangaika maana si ingefanya ndani ya miaka 5 ya ubireshaji daftari Sasa why leo.
Tuache kushabikia uongo jamani. TUKUTANE OKTOBA 28,2020.
 
Msianze kutapatapa, nyinyi wenyewe mnatuletea wapinzani wabovu, na wengine mumewachinjia angani kwa kiki ya kuungana ambayo nikinyume na katiba na sheria za inchi. Halafu mnasema ccm itaiba kura kwani kunaupinzani gani ambao unaweza sababisha ccm iiibe kura??
Umesoma alichosema Lowassa "inatishatisha huko mtaani"jipangeni
 
True Ila kwa sasa baada ya kiwewe wamesalia na mbinu moja tu ya kuwadiscourage watu eti utasikia Lisu hawezi kuwa rais kamwe hata wote wampigie kura Mara hatuwezi kukabidhi nchi kwa kibaraka wa mabeberu nk nk yaani wanajaribu kuwa attack watu kisaikolojia wenye weak soul sasa na hii mbinu inaenda kubuma maana kila kukicha mikutano kwa TAL inazidi kuwa mikubwa.
Ccm mnatakiwa kutambua kwamba hamuwezi kushindana na Mungu
 
Yaani uchaguzi uahirishwe kisa Lissu anaezidiwa umaarufu na Zuchu mikoani? Wachambuzi wa siasa wa upinzani mnaishi ndotoni sana
 
Hivi mnaposema ccm ina mtaji wake wa wanachama huwa mnatumia akili kuongea au mnaimba tu kama kasuku? Huo mtaji ni maroboti wasio na utashi wa kuhama chama wanapoona dhuluma inafanyika. Au ukiwa ccm huwezi kuhama chama hata kama unadhulumiwa?
Kuhama chama na kuhamia chama gani?! Kuna kamsemo kuwa "if they defeat you, JOIN THEM! Hakuna aliye tu - defeat, hivyo hatuna PAKUHAMIA! We are here to stay.
 
Kama mna wanachama wa kutosha mbona mnawawekea mapingamizi wagombea wa wapinzan?, mbona hawakuwafaa wkt wa uchaguz wa serikal za mitaa?, mbona mmelazimisha kupata wabunge bila kupingwa? na mbona mnaiogopa tume huru ya uchaguzi.
Hizo ni technique, tu mbona Lissu alimuwekea pingamizi Magufuri na nyie wekeni.
 
Ni Kosa kubwa kuihusisha taasisi ya serikali na chama cha siasa. Mwandishi kwa namna yoyote ile utakuwa hujui Kama nchi hii inaongozwa kwa misingi ya katiba, sheria na taratibu mbalimbali zilizowekwa ulichotuletea hapa ni hekaya mnazozungumza huko vijiweni.

Huwezi ukaichanganya Taasisi huru kama NEC na chama. Wakati chama ni mdau tu wa Taasisi.

NEC hii iliyomsaidia Lissu kukamilisha Taarifa zake za maombi ya kuteuliwa kuwa Rais alipopeleka kwao.

Ndiyo NEC Hii iliyopokea rufaa zenu na kuzishughulikia kwa umakini na uangalifu mkubwa.

Ndio NEC hiyo hiyo itakayosimamia uchaguzi mkuu 2020 bila kijali chama.

Nakushauri kasome tena katiba ya JMT namna tume inavyoundwa na majukumu yake. Kisha uje upya na hili andiko lako nusu
Hivi hujui watumishi wengi wa NEC kama sio wote ni makada wa CCM.
 
Back
Top Bottom