Uchaguzi 2020 Karata ya mwisho ya CCM ni kuahirisha uchaguzi na sio kuiba kura

Heee! Wewe poti??
Bado sikuamnini hata sasa.
Nyie mapoti hamueleweki, yawezekana unajaribu kutuchota akili hapa.
Nyie mapoti mnalipwa vizuri ndo maana mnaona sawa tu.
 
Haya kura wamepiga na zinahesabiwa vipi nabii na matokeo pia unabashiri au tukuache
 
Karibu tena 2025 Magufuli hayupo duniani lazima Chadema mchukue nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…