Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Karate hamna kitu , wanaojua karate ni wachina tuuu , wabongo miili yenyewe ipo irregular shaped....mtu yupo kama pipa anatembea kama kono kono.....ukutane na vibaka wenye njaa Wana mapanga, visu na bisibisi wapo serious na kazi Yao ..aiseee labda ukutane na vibaka wa Dar sio Mura wa Tarime