Teamanaconda
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 602
- 564
Aisee hakuna mapigo ninayopenda kama ya Tai-chi,hasa jinsi Jet li anavyoyatumiaga,maana unatumia nguvu za adui yako vizuri kweli kumpiga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeifanya siku yangu iwe muruwa sanaChuma changu kiunoni.. ruka ruka .. mie nakujaza moja tu chalii
Next week tukutane uwanja wa taifa hapo ifakara tucheze kumitenipo ifakara now nikirudi tutayajenga
Teke hii ni ya kuchukulia sifa mbele za watu[emoji173][emoji173]View attachment 1715126
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa iyo teke ukitaka imuingie mtu Inabidi ucheze nae alafu unavizia Kama unaangalia pembeni ivi ndo unaipiga....alafu Kuna moja iko kwenye taikwondo inaitwa bolley kick...aisee ina mvuto wa kimapenzi hatari...Yani ukiwa mbele ya demu wako afu Kuna fala kajipitisha ukiipiga ile lazima ukawekewe maji ya kuoga yaliyoungwa
Na kitu cha kwanza kabisa hapo ni Mungu ulinzi wake pia uwe na haki namatendo mema ukumbuke kusali na kushika amri zake ,la utakufa tu mbwa wew[emoji23]Karate kamchezo laini kias ,
Ili mtu uwe na uhakik wa ulinzi
1. Bastola au mishale modern
2.combat pure
3. Mixed martial art hapa kuna krav maga,systema,silat,muay boran,jiujitsu,hapkido,aikido, shaolin ,jeet kune do,
4. Boxing
5.lower acrobatic.
6.ninjutsu kiasi level 4
7.judo.
Hapa atleast unaweza kupambana na yyte duniani usisahau meditation ili kuwa na invisible power
kumite ndiyo nini mkuuNext week tukutane uwanja wa taifa hapo ifakara tucheze kumite
Takuja kuzichambua. Pia kama uko Chanika naweza kukufundisha
kumite ndiyo nini mkuu
kumite ndiyo nini mkuu
🚶♂️ 🚶♂️tofauti na kombolela sijui mchezo mingine🤣🤣Anakwambia ukapigane nae ki ukweli ukweli ili akutengue kiuno [emoji23][emoji23]
ukifanya hayo hufi ?Na kitu cha kwanza kabisa hapo ni Mungu ulinzi wake pia uwe na haki namatendo mema ukumbuke kusali na kushika amri zake ,la utakufa tu mbwa wew[emoji23]
Mkuu ukibeba mawe nakimbia...Yani utacheka kwa mbio ntakazoondokaMkuu hapo juu umesema hauhofii visu wala bisbis,sababu mnavitumia kwenye mazoezi,je mnatumia na mawe?au mna mbinu za kukwepa mawe??
Hahaaaaaa nikajua jamaa ni mcheza michezo ya hatar....nikataka tukaguaneAnakwambia ukapigane nae ki ukweli ukweli ili akutengue kiuno [emoji23][emoji23]