Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Aisee ngoja tusubiri uchunguziAliyemuua paroko ndio anatakiwa aseme
Alale salama Padre wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee ngoja tusubiri uchunguziAliyemuua paroko ndio anatakiwa aseme
Alale salama Padre wetu
Kwanini aende kwa Padri asiue mtu yeyote...Raia wenye hasira kali nao wamemuua muaji mwenye shida ya akili.
Muuaji mwenye shida ya akili alikwenda kwa Padri ili aombewe na hapo hapo kwasababu ya matatizo ya akili akaamua amuue Padri.
Ngoja niendelee kufikiri, ndugu zetu Polisi msiishie hapo.
Kwanini aende kwa Padri asiue mtu yeyote...
Haya matatizo yanatakiwa kutokomezwa kwa namna yoyote ile. Hata humu jukwaani tuna wagonjwa wengi sana.Matatizo ya afya ya akili.
POKEENI TAARIFA MLIUOPEWA MSIWAZE NYUMA YA PAZIA AU CHINI YA KAPETIKuna kitu chini ya kapeti...
Asante umeniongezea kituKufungulia mtu usiemjua usiku ni Risk sana...bora umwambia akalale akutafute kukicha...
Nnavyojua mwenye tatizo la akili anashambulia yoyote anaekutana nae barabarani lakini hyo kutoka direct kwenda kugonga mlango kwa mtu halafu anamwambia kabisa nnataka uniombeee ,rip marehemu wetuKwanini aende kwa Padri asiue mtu yeyote...
Matatizo ya akili tunayoongelea mmoja wapo ndio ww kwani akiwa mvaa kobazi ndio hawezi kuwa na matatizo ya akili au akiwa mvaa kobazi kesi inabadilikaJina lake huyo mtu mbona linafichwa? Au mvaa kobazi?
Padre hutoa huduma 24/7.Kufungulia mtu usiemjua usiku ni Risk sana...bora umwambia akalale akutafute kukicha...
Tupe fununuKuna kitu chini ya kapeti...
Padre wa Kanisa Katoliki anatoa huduma muda wote anapohitajika.Padri ndie chanzo cha vifo vyote. Katoliki hawana maombi ya usiku wa saa hizo. Kufungua kwake mlango usiku ndio matokeo ya vifo.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Alafu akaenda usiku tena wa saa 7 jamani...Nnavyojua mwenye tatizo la akili anashambulia yoyote anaekutana nae barabarani lakini hyo kutoka direct kwenda kugonga mlango kwa mtu halafu anamwambia kabisa nnataka uniombeee ,rip marehemu wetu
Hakuna general formula ya matendo ama mienendo ya watu wenye matatizo ya akili.Nnavyojua mwenye tatizo la akili anashambulia yoyote anaekutana nae barabarani lakini hyo kutoka direct kwenda kugonga mlango kwa mtu halafu anamwambia kabisa nnataka uniombeee ,rip marehemu wetu