Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Raia wenye hasira kali nao wamemuua muaji mwenye shida ya akili.
Muuaji mwenye shida ya akili alikwenda kwa Padri ili aombewe na hapo hapo kwasababu ya matatizo ya akili akaamua amuue Padri.
Ngoja niendelee kufikiri, ndugu zetu Polisi msiishie hapo.
Hapa ndio penyewe.