Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Una dalili za Ugonjwa wa Afya ya akili,nakushauri nenda hospitali ukapime.Labda alikua anakula demu wake ,
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una dalili za Ugonjwa wa Afya ya akili,nakushauri nenda hospitali ukapime.Labda alikua anakula demu wake ,
Padre na Daktari lao moja!Padri ndie chanzo cha vifo vyote. Katoliki hawana maombi ya usiku wa saa hizo. Kufungua kwake mlango usiku ndio matokeo ya vifo.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
ndg yangu ngoja tukae kwa tahadhariYameanza tena.
Umewaza vizuriSema sasa wananch nao wanamuuaje mtu mwenye afya ya akil.Over!
Siku ikifika hakuna ingekuwa!Kufungulia mtu usiemjua usiku ni Risk sana...bora umwambia akalale akutafute kukicha...
Huyo wa imani ya wavyaa kamba ya mbuzi shingoni,ni gaidi na ni kichaa.Kama ni mvaa kobazi na vipedo huyo ni gaidi. Kama sio wa mlengo wa maandishi yatokayo kushoto huyo ni kichaa. Hata duniani inafahamika hivyo.
Huyu ni mvyaa kamba ya mbuzi shongoni,ni kichaa na ni gaidi.Wavaa kobazi wengi wana matatizo ya akili, nilitaka kujua hilo tu.
Mapadre sasa wawe wanafundishwa Karate.Karatu jana kuna jamaa saa saba usiku ameenda Kanisani kumgongea mlango Paroko amuombee, Paroko alivyofungua Kanisani jamaa aingie amuombee kumbe alikuwa na chuma akapiga sana. Paroko ameenda kufia Fame Medical.
Wananchi wenye hasira nao wamemuua Mtuhumiwa
----
Padri Pamphilius Nada wa Parokia ya Karatu amevamiwa na kuuwa na mtu ambaye anayedhaniwa kuwa hana akili timamu usiku wa kuamkia leo tarehe 19.7. 2023.
Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema peponi. Amina.
KAMANDA WA POLISI ARUSHA ATHIBITISHA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema “Mtuhumiwa aliyemshambulia Padri kwa nyundo inadaiwa alikuwa na changamoto ya afya ya akili, naye alifariki baada ya kushambuliwa na Wananchi wenye hasira kali eneo la tukio.”
Waumini nao wamemuua muuaji wa paroko, ile samehe saba mara 70 haikutumika, halafu mkitoka hapo mnasema wakristo hamna matatizoAliyemuua paroko ndio anatakiwa aseme
Alale salama Padre wetu
Huyo jamaa alizuiwa na walinzi kuingia akarudi tena alfajiri ndio paroko baada ya kusikia mabishano akaja getini na kuamuru afunguliwe aingie ndio mbele ya safari padri akauawa.chanzo cha kufahamu mtu mwenye matatizo ya akili alienda kwa paroko kutaka kuombewa saa 7 usiku ni kipi?? navyofahamu makazi ya paroko yanakuwa na walinzi kama siyo mlinzi napo hapa naomba kufahamishwa
Changamoto ya afya ya akili hapo imetumika kuficha tatizoKaratu jana kuna jamaa saa saba usiku ameenda Kanisani kumgongea mlango Paroko amuombee, Paroko alivyofungua Kanisani jamaa aingie amuombee kumbe alikuwa na chuma akapiga sana. Paroko ameenda kufia Fame Medical.
Wananchi wenye hasira nao wamemuua Mtuhumiwa
----
Padri Pamphilius Nada wa Parokia ya Karatu amevamiwa na kuuwa na mtu ambaye anayedhaniwa kuwa hana akili timamu usiku wa kuamkia leo tarehe 19.7. 2023.
Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema peponi. Amina.
KAMANDA WA POLISI ARUSHA ATHIBITISHA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema “Mtuhumiwa aliyemshambulia Padri kwa nyundo inadaiwa alikuwa na changamoto ya afya ya akili, naye alifariki baada ya kushambuliwa na Wananchi wenye hasira kali eneo la tukio.”
Genta ndio anatabia za matusiHaya matatizo yanatakiwa kutokomezwa kwa namna yoyote ile. Hata humu jukwaani tuna wagonjwa wengi sana.
Unaweza ukachangia mada, ghafla mtu anatokea kusiko julikana na kuanza kukuporomoshea matusi ya nguoni! Kuutweza utu wako! Au hata kukutukania kabisa wazazi wako.
Mmeanza, kwa taarifa yako ni mgalatia mwenzenu na wagalatia wenzie wakamuuaJina lake huyo mtu mbona linafichwa? Au mvaa kobazi?
Atakuwa ana disorder bila shaka. Siyo bure.Genta ndio anatabia za matusi
Akili ya mwends wazimu haina ' Scala wala Vector'.dah, hili nalo ni swali lingine dhidi ya huyu muaji mwenye matatizo ya akili.
Daah mbaya sana aisee Mtu mwema anaua kikatili ...