TANZIA Karatu: Padri Pamphilius Nada auawa na mtu anayedhaniwa kuwa na changamoto ya afya ya akili

Ndo maana nimekazia ... kufungua kwa watu anaowajua...kama ni muumini anataka sakrament ya upako wa mwisho angekuja hata na kiongozi wa jumuiya.
Bahati mbaya mapadre wanafundishwa kuwahudumia wahitaji wote, hata wasiowafahamu! Rejea Mathayo 5:47
 
pole kwa kanisa. halafu, hivi hawa watu kwanini wanakuwaga na roho ngumu sana? sitaki kusema roho mbaya, ila aisee wana roho ngumuuu, ukitaka kujua hilo soma seminari au peleka mtoto kwenye shule zao,
 
Hapa kuna ukweli unafichwa,yaani mtu aje usiku akugongee ukamumbeee?huyu jamaa ana mke?
 
Karatu na mbulu kuna vichaa wengi sana sijui shida ni nini
 
Ilitabiriwa kuwa,

Ataingia Kanisani kuleta kitabu, bt mwishoni Atajikabidhi tena Kwa Kanisa.

Tusubiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…