TANZIA Karatu: Padri Pamphilius Nada auawa na mtu anayedhaniwa kuwa na changamoto ya afya ya akili

Padri ndie chanzo cha vifo vyote. Katoliki hawana maombi ya usiku wa saa hizo. Kufungua kwake mlango usiku ndio matokeo ya vifo.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Padre na Daktari lao moja!

Unaweza kuamshwa muda wowote kwa ajili ya kutoa Huduma kwa Wagonjwa!

Mpako wa Mwisho nk!!

Mungu ampe Nuru ya Milele!!
 
Kufungulia mtu usiemjua usiku ni Risk sana...bora umwambia akalale akutafute kukicha...
Siku ikifika hakuna ingekuwa!
Israel mtoa roho za watu alikuwa na rafiki yake!
Anapoenda kutoa roho za watu alikuwa anamuaga!
Siku hiyo alishinda nyumbani na kumueleza Rafikie kwamba leo haeñdi mbali!
Rafiki yake kutafakari akaona jirani na pale hakuna mtu mwingine ila yeye tu! Akajua kwa leo ni siku yake!
Akaenda kuinua chungu kikubwa akaingia ndani akajifunika nacho, ili kujificha israel ASIMUONE!
Kumbe siku yake Imefika!
Akakosa hewa akafa!
Simulizi tu mkuu!

R I P BABA![emoji120]
 
Mapadre sasa wawe wanafundishwa Karate.
 
chanzo cha kufahamu mtu mwenye matatizo ya akili alienda kwa paroko kutaka kuombewa saa 7 usiku ni kipi?? navyofahamu makazi ya paroko yanakuwa na walinzi kama siyo mlinzi napo hapa naomba kufahamishwa
Huyo jamaa alizuiwa na walinzi kuingia akarudi tena alfajiri ndio paroko baada ya kusikia mabishano akaja getini na kuamuru afunguliwe aingie ndio mbele ya safari padri akauawa.
 
Changamoto ya afya ya akili hapo imetumika kuficha tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…